Kusoma Darasa la I Syllabus
-
-
Kujenga maana ya hadithi kwa kuuliza na kujibu maswali.
-
Ujenzi wa maana ya hadithi kwa kuuliza na kujibu maswali unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kujenga taswira ya muda wa tukio na mahali pa tukio katika habari teule.
-
Ujenzi wa taswira ya muda wa tukio na mahali pa tukio unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutabiri maudhui ya habari kwa kutumia picha, jina la kitabu, hadithi na mwendelezo wa hadithi.
-
Utabiri wa maudhui ya habari unafanyika kwa usahihi kwa kutumia picha jina la kitabu, hadithi na mwendelezo wa hadithi.
-
-
Kusoma kifungu linganifu cha habari kwa ufahamu.
-
Usomaji wa kifungu linganifu cha habari kwa ufahamu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusikiliza kifungu linganifu cha habari kwa ufahamu.
-
Usikilizaji wa kifungu linganifu cha habari kwa ufahamu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutafsiri na kuelezea picha kwa kutumia chati za picha.
-
Utafsiri na uelezeaji wa picha unafanyika kwa usahihi.
-
-
-
-
Kuhusianisha habari/hadithi na uzoefu wa maisha/maarifa ya awali na hadithi nyingine ili kujenga ufahamu na umiliki wa habari katika matini.
-
Uhusianishaji wa habari/hadithi na uzoefu wa maisha/maarifa ya awali na hadithi nyingine ili kujenga ufahamu na umiliki wa habari kwa usahihi.
-
-
Kutumia kifungu cha habari kubaini msamiati mpya uliotumika ili kukuza ufahamu wa kusoma
-
Ubainishaji wa msamiati mpya na uliotumika kukuza ufahamu wa kusoma unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutumia kifungu cha habari kusoma na kujibu maswali, yenye kujibu maswali, yenye kupima ufahamu na kkuza msamiati kwa usahihi
-
Usomaji wa kifungu cha habari unafanyika kwa usahihi na kujibu maswali yenye kupima ufahamu na kukuza msamiati kwa usahihi.
-
-
Kutumia picha katika kifungu cha habari kueleza sifa za wahusika katika hadithi
-
Uelezaji wa sifa za wahusika katika hadithi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutumia kifungu cha habari kutabiri matukio
-
Utabiri wa matukio kwa kutumia kifungucha habari unafanyika kwa usahihi.
-
-
-
-
Kusoma kifungu linganifu cha habari kwa kufuata vituo na sauti ya hisia. (Nukta, mkato, alama ya kuuliza na alama ya mshangao).
-
Usomaji wa kifungu linganifu cha habari kwa kufuata vituo na sauti ya hisia unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusoma kifungu linganifu cha habari kwa kasi inayostahili.
-
Usomaji wa kifungu linganifu cha habari kwa kasi inayostahili unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusoma kifungu cha habari kwa kuzingatia matamshi sahihi ya maneno.
-
Usomaji wa kifungu cha habari kwa kuzingatia matamshi sahihi ya maneno unafanyika kwa usahihi.
-
-
-
-
Kuunda na kusoma sentensi zinazotokana na maneno yaliyoundwa na silabi za herufi mwambatano na silabi za aina nyingine kwa kutumia kadi za maneno.
-
Uundaji na usomaji wa sentensi zinazotokana na maneno yaliyoundwa na silabi za herufi mwambatano na silabi za aina nyingine kwa kutumia kadi za maneno umefanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha kwa kutamka sauti mojamoja zilizounda maneno yanayotokana silabi za herufi na mwambatano na silabi za aina nyingine.
-
Utenganishaji kwa kutamka sauti moja moja zilizounda maneno yanayotokana silabi za herufi na mwambatano na silabi za aina nyingine unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha silabi za herufi mwambatano na silabi za aina nyingine ili kuunda maneno na kuyatamka
-
Uunganishaji wa silabi za herufi mwambatao na silabi za aina nyingine ili kuunda maneno na kuyatamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha na kuzitamka herufi mwambatano saba na herufi za irabu ili kupata silabi kwa kutumia kadi za herufi na kuzitamka.
-
Kuhusianisha sauti na herufi mwambatano saba (ny, nd, sh, ng, th, kw, mb) kwa kutumia kadi za herufi mwambatano.
-
Uhusianishaji wa sauti na herufi mwambatano saba (ny, nd, , sh, ng, th, kw, mb) kwa kutumia kadi za herufi mwambatano unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunda na kusoma sentensi zinazoundwa na maneno yanayotokana na silabi za konsonanti za kila kundi kwa kutumia kadi za maneno.
-
Uundaji na usomaji wa sentensi zinazotokana na maneno yanayotokana na silabi za konsonanti za kila kundi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuhusianisha herufi ndogo na kubwa zote kwa kuzisoma katika maneno.
-
Uhusianishaji wa herufi ndogo na kubwa zote kwa kuzisoma katika maneno unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha kwa kutamka sauti moja moja zilizounda maneno yanayotokana na herufi 24 kwa kutumia kadi za herufi.
-
Utenganishaji wa sauti moja moja zilizounda maneno yanayotokana na herufi 24 kwa kutumia kadi za herufi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha silabi zinazotokana na herufi zote ishirini na nne ili kuunda maneno na kuyatamka.
-
Uunganishaji wa silabi zinazotokana na herufi zote ishirini na nne ili kuunda maneno na kuyatamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha kwa kutamka sauti za konsonanti na irabu zilizounda silabi.
-
Utenganishaji wa sauti za konsonanti na irabu zilizounda silabi kwa kuzitamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini majina ya vitu yanayoanza na silabi za irabu na kutenganisha silabi kwa kutamka.
-
Ubainishaji wa majina ya vitu yanayoanza na silabi za irabu na utenganishaji wa silabi kwa kutamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini majina ya wanafunzi yanayoanza na silabi za irabu katika darasa na kutenganisha silabi hizo kwa kuzitamka.
-
Ubainishaji wa majina ya wanafunzi yanayoanza na silabi za irabu na utenganishaji wa silabi hizo kwa kuzitamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini silabi zinazoundwa na irabu.
-
Ubainishaji wa silabi zinazoundwa na irabu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha na kutamka sauti za konsonanti na irabu ili kuunda silabi.
-
Uunganishaji na utamkaji wa sauti za konsonanti na irabu ili kuunda silabi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuhusianisha sauti na konsonanti (b, m, k, d, n); (l, t, p, s, f, j); (g, y z h, r, w, v, ch) kwa kutumia kadi za herufi.
-
Uhusianishaji wa sauti na herufi za konsonanti kwa kuonesha kadi na kutamka umefanyika kwa usahihi
-
-
Kutenganisha sauti za irabu zilizounda maneno kwa kuzitamka.
-
Utenganishaji wa sauti za irabu zilizounda maneno kwa kuzitamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha na kutamka sauti za irabu ili kuunda maneno.
-
Uunganishaji na utamkaji wa sauti za irabu ili kuunda maneno unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuhusianisha sauti na herufi za irabu (a e i o u) kwa kutumia kadi kuzitamka.
-
Uhusianishaji wa sauti na herufi za irabu kwa kuzionesha katika kadi na kuzitamka unafanyika kwa usahihi.
-
-
-
-
Kusimulia hadithi.
-
Usimuliaji wa hadithi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusimulia matukio mbalimbali kuhusu sherehe
-
Usimuliaji wa matukio mbalimbali kuhusu sherehe unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo kuhusu mchezo teule baina ya wanafunzi wawili.
-
Uanzishaji na uendelezaji wa mazungumzo baina ya wanafunzi wawili kuhusu mchezo teule unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutumia lugha ya heshima katika kuomba ruhusa na kuomba vitu.
-
Lugha ya heshima katika kuomba ruhusa na kuomba vitu inatumika kwa usahihi.
-
-
Kusalimiana na kuagana kati ya watoto na watu wazima na watoto wenyewe kwa wenyewe.
-
Kusalimiana na kuagana na watu wote kunafanyika kwa usahihi.
-
-
Kujitambulisha mwenyewe na kutambulisha watu wengine.
-
Utambulisho wa mtoto mwenyewe na utambulisho wa watu wengine unafanyika kwa usahihi.
-
-