Kuhesabu Darasa la I Syllabus
-
-
Kuwakilisha kiwango cha vitu halisi kwa kutumia michoro.
-
Kiwango cha vitu halisi kwa kutumia michoro kinawakilishwa kwa usahihi.
-
-
Kukusanya vitu halisi kutoka katika mazingira.
-
Vitu halisi vinakusanywa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kuwakilisha kiwango cha vitu halisi kwa kutkumia michoro
-
Uwakilishaji wa vitu halisi kwa kutumia michoro unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kukusanya na kutambua vitu halisi katika mazingira
-
Vitu halisi vinakusanywa na kutambuliwa kutoka katika mazingira kwa usahihi
-
-
Kubaini vitu halisi katika mazingira
-
Vitu halisi vinabainishwa katika mazingira
-
-
-
-
Kuchora maumbo bapa na yasiyo bapa.
-
Kuchora maumbo bapa na yasiyobapa
-
Maumbo bapa na yasiyobapa yanachorwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha maumbo bapa na yasiyobapa.
-
Maumbo bapa na yasiyo bapa yanachorwa kwa usahihi.
-
Maumbo bapa na yasiyobapa yanabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kutaja maumbo bapa na yasiyobapa
-
Maumbo bapa na yasiyobapa yanatajwa kwa usahihi
-
-
Kutofautisha maumbo paba na yasiyobapa
-
Maumbo bapa na yasiyobapa yanatofautishwa kwa usahihi.
-
-
Kuchora maumbo ya pembe tatu, pembe nne na duara
-
Maumbo ya pembe tatu, pembe nne na duara yanachorwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha maumbo ya pembe tatu, pembe nne na duara
-
Maumbo ya pembe tatu, pembe nne na duara yanabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kutoa fedha za Tanzania.
-
Fedha za Tanzania zinatolewa kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha fedha za Tanzania kupata jumla isiyozidi 100.
-
Fedha za Tanzania zinajumlishwa kupata jumla isiyozidi 100 kwa usahihi.
-
-
Kulinganisha thamani ya sarafu za Tanzania.
-
Thamani ya sarafu za Tanzania inalinganishwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini fedha za Tanzania.
-
Fedha za Tanzania zinabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kutoa namba.
-
Namba zinatolewa kwa usahihi.
-
-
Kubaini alama ya kutoa.
-
Alama ya kutoa inabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kufanya zoezi la kupunguza vitu kutokana na idadi aliyopewa.
-
Zoezi la kupunguza idadi ya vitu kutokana na idadi aliyopewa linafanyika kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 99.
-
Namba kupata jumla isiyozidi 99 inajumlishwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini alama ya kujumlisha (+).
-
Alama ya kujumlisha inabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha vitu kupata jumla isiyozidi 99.
-
Vitu vinajumlishwa kwa usahihi kupata jumla isiyozidi 99.
-
-