Hisabati Darasa la I Syllabus

    1. Kuhesabu vitu (kuanzia1 hadi 200)
      1. Kuainisha vitu kwakuhesabu.
      2. Kuhesabu kwakupanga vitu kulingana na sifa zake.
      3. Kuhesabu vitu tafauti.
    2. Kusoma Nambari (kuanzia1 hadi 200)
      1. Kubainisha maumbo ya nambari
      2. Kupanga nambari kwa mtiririko wake
      3. Kusoma nambari kwa usahihi
    3. Kuandika Nambari (kuanzia 1 hadi 200).
      1. Kuandika nambari kwa kufuata hatua
      2. Kutafautisha muandiko wa nambari
      3. Kuandika nambari kwa usahihi
    1. Kujumlisha nambari jumla isiyozidi 200
      1. Kuongeza vitu ili kupata jumla yake
      2. Kutumia alama ya kujumlisha katika kuongeza vitu
      3. Kujumlisha nambari kwa kutumia alama ya kujumlisha
    2. Kutoa nambari baina ya 1 na 200
      1. Kupunguza vitu kupata idadi ya vitu vilivyobaki
      2. Kutumia alama ya kutoa katika kupunguza idadi ya vitu
      3. Kutoa nambari kwa kutumia alama ya kutoa
    3. Mafumbo rahisi ya Kujumlisha(ja wabu lisizidi 200) na Kutoa (baina ya 1 na 200)
      1. Kubadilisha maneno kuwa nambari
      2. Kubainisha alama za kujumlisha na kutoa katika mafumbo
      3. Kufumbua mafumbo rahisi
    1. Dhana ya Sehemu
      1. Kuelezea dhana ya sehemu kwa kutumia maumbo
      2. Kubainisha sehemu kwa kutumia vitu halisi
      3. Kutafautisha sehemu kwa kutumia vitu tafauti
    2. Muundo wa sehemu
      1. Kubainisha muundo wa sehemu
      2. Kusoma sehemu 1/2, 1/3, 1/4, 1/5,1/6 na 1/8 kwa kutumia michoro na tarakimu
      3. Kuandika sehemu 1/2, 1/3, 1/4, 1/5,1/6 na 1/8 kwa kutumia michoro na tarakimu
    1. Dhana ya Maumbo Bapa
      1. Kuanisha maumbo bapa
      2. Kupanga maumbo bapa
      3. Kuhusisha dhana ya maumbo bapa katika mazingira halisi
    2. Maumbo bapa (Mstatili, Mraba, Pembe Tatu na Duara)
      1. Kuhusisha vitu vyenye mfanano na maumbo bapa
      2. Kuchora aina za maumbo bapa
      3. Kutengeneza vitu mbali mbali vyenye maumbo bapa
    1. Vipimo vya asili vya urefu (Nyanda, dhiraa, pima na hatua)
      1. Kubainisha vipimo vya asili vya urefu
      2. Kulinganisha vipimo vya asili vya urefu
      3. Kupima urefu kwa kutumia vipimo vya asili
    2. Vipimo vya Asili vya Ujazo
      1. Kubainisha vipimo vya asili vya ujazo
      2. Kulinganisha vipimo vya asili vya ujazo
      3. Kupima ujazo kwa kutumia vipimo vya asili
    1. Nyakati
      1. Kubainisha nyakati katika siku
      2. Kulinganisha vitendo katika nyakati za siku
      3. Kufumbua mafumbo ya nyakati
    2. Saa
      1. Kubainisha aina za saa
      2. Kusoma saa (kamili na nusu) kwa mtindo wa saa kumi na mbili
      3. Kuchora nyuso za saa (za akrabu na tarakimu)
      4. Kufumbua mafumbo ya saa
    1. Thamani ya fedha za Tanzania (kuanzia shilingi 1 hadi shilingi 2000)
      1. Kubainisha alama zilizomo katika sarafu na noti
      2. Kuelezea thamani ya sarafu na noti
      3. Kusiriba sarafu zenye thamani tafauti
    2. Matumizi ya Fedha za Tanzania
      1. Kujadili njia za kutunza fedha
      2. Kuhifadhi na kuweka akiba
      3. Kutumia fedha kwa kuuza na kununua bidhaa