Hisabati Darasa la I Syllabus
-
-
Kuhesabu vitu (kuanzia1 hadi 200)
-
Kuainisha vitu kwakuhesabu.
-
Kuhesabu kwakupanga vitu kulingana na sifa zake.
-
Kuhesabu vitu tafauti.
-
-
Kusoma Nambari (kuanzia1 hadi 200)
-
Kubainisha maumbo ya nambari
-
Kupanga nambari kwa mtiririko wake
-
Kusoma nambari kwa usahihi
-
-
Kuandika Nambari (kuanzia 1 hadi 200).
-
Kuandika nambari kwa kufuata hatua
-
Kutafautisha muandiko wa nambari
-
Kuandika nambari kwa usahihi
-
-
-
-
Kujumlisha nambari jumla isiyozidi 200
-
Kuongeza vitu ili kupata jumla yake
-
Kutumia alama ya kujumlisha katika kuongeza vitu
-
Kujumlisha nambari kwa kutumia alama ya kujumlisha
-
-
Kutoa nambari baina ya 1 na 200
-
Kupunguza vitu kupata idadi ya vitu vilivyobaki
-
Kutumia alama ya kutoa katika kupunguza idadi ya vitu
-
Kutoa nambari kwa kutumia alama ya kutoa
-
-
Mafumbo rahisi ya Kujumlisha(ja wabu lisizidi 200) na Kutoa (baina ya 1 na 200)
-
Kubadilisha maneno kuwa nambari
-
Kubainisha alama za kujumlisha na kutoa katika mafumbo
-
Kufumbua mafumbo rahisi
-
-
-
-
Dhana ya Sehemu
-
Kuelezea dhana ya sehemu kwa kutumia maumbo
-
Kubainisha sehemu kwa kutumia vitu halisi
-
Kutafautisha sehemu kwa kutumia vitu tafauti
-
-
Muundo wa sehemu
-
Kubainisha muundo wa sehemu
-
Kusoma sehemu 1/2, 1/3, 1/4, 1/5,1/6 na 1/8 kwa kutumia michoro na tarakimu
-
Kuandika sehemu 1/2, 1/3, 1/4, 1/5,1/6 na 1/8 kwa kutumia michoro na tarakimu
-
-
-
-
Dhana ya Maumbo Bapa
-
Kuanisha maumbo bapa
-
Kupanga maumbo bapa
-
Kuhusisha dhana ya maumbo bapa katika mazingira halisi
-
-
Maumbo bapa (Mstatili, Mraba, Pembe Tatu na Duara)
-
Kuhusisha vitu vyenye mfanano na maumbo bapa
-
Kuchora aina za maumbo bapa
-
Kutengeneza vitu mbali mbali vyenye maumbo bapa
-
-
-
-
Vipimo vya asili vya urefu (Nyanda, dhiraa, pima na hatua)
-
Kubainisha vipimo vya asili vya urefu
-
Kulinganisha vipimo vya asili vya urefu
-
Kupima urefu kwa kutumia vipimo vya asili
-
-
Vipimo vya Asili vya Ujazo
-
Kubainisha vipimo vya asili vya ujazo
-
Kulinganisha vipimo vya asili vya ujazo
-
Kupima ujazo kwa kutumia vipimo vya asili
-
-
-
-
Nyakati
-
Kubainisha nyakati katika siku
-
Kulinganisha vitendo katika nyakati za siku
-
Kufumbua mafumbo ya nyakati
-
-
Saa
-
-
Kubainisha aina za saa
-
Kusoma saa (kamili na nusu) kwa mtindo wa saa kumi na mbili
-
Kuchora nyuso za saa (za akrabu na tarakimu)
-
Kufumbua mafumbo ya saa
-
-
-
-
Thamani ya fedha za Tanzania (kuanzia shilingi 1 hadi shilingi 2000)
-
Kubainisha alama zilizomo katika sarafu na noti
-
Kuelezea thamani ya sarafu na noti
-
Kusiriba sarafu zenye thamani tafauti
-
-
Matumizi ya Fedha za Tanzania
-
Kujadili njia za kutunza fedha
-
Kuhifadhi na kuweka akiba
-
Kutumia fedha kwa kuuza na kununua bidhaa
-
-