Hisabati

Nambari Nzima
♿ Accessibility: | | | |

Nambari Nzima

UTANGULIZI WA MADA KUU
Mada ya Namba Nzima humsaidia mwanafunzi wa Darasa la Kwanza kujenga uelewa wa msingi wa kuhesabu, kutambua idadi, na kuoanisha namba na vitu halisi vinavyomzunguka. Kupitia mada hii, mwanafunzi hujifunza kuwa namba huwakilisha kiasi cha vitu katika maisha ya kila siku kama vile matunda, viti, kalamu, samaki na vitu vingine vinavyopatikana katika mazingira ya Zanzibar. Mada hii huandaa msingi wa kujifunza hesabu za juu zaidi baadaye.
<strong>Picha ya chati ya nambari</strong>
<strong>Picha ya chati ya nambari</strong>
Kuhesabu vitu (kuanzia1 hadi 200)
UTANGULIZI WA MADA NDOGO
Katika mada hii ndogo, mwanafunzi hujifunza kuhesabu vitu kwa usahihi kuanzia 1 hadi 200 kwa kutumia vitu halisi, picha na michezo. Lengo ni kumsaidia mwanafunzi kuunganisha namba na idadi ya vitu, kupanga vitu, na kuhesabu vitu vya aina tofauti kwa njia rahisi, ya kuvutia na inayomshirikisha kikamilifu.
Maana ya Kuhesabu Vitu Moja Moja- Kuhesabu vitu moja moja ni tendo la kutaja namba kwa sauti huku ukigusa au kuonyesha kila kitu kimoja kwa wakati wake.
Ufafanuzi kwa Mtoto:
Tunapohesabu, tunagusa au tunaonyesha kila kitu kimoja na kusema namba moja. Hakuna kitu kinachorukwa, wala kuhesabiwa mara mbili.
Mfano wa Maisha Halisi: Mtoto akihesabu embe, anagusa embe moja na kusema “moja”, kisha embe la pili “mbili”, na kuendelea hivyo.
Picha ya mtoto akigusa embe moja moja wakati anahesabu.
Picha ya mtoto akigusa embe moja moja wakati anahesabu.
Kuainisha vitu kwa kuhesabu.
Kuainisha vitu kwakuhesabu.
Hii ni stadi ya kuunganisha kitu kimoja na namba moja tu. Mwanafunzi hujifunza kuwa kila namba huwakilisha kitu kimoja.
Ufafanuzi kwa Mtoto:
Tubadilishe neno mtoto kwa kuweka neno mwanafunzi
Kila kitu kinapata namba yake. Kitu kimoja = namba moja.
Example 1
Mfano wa Maisha Halisi: Mwalimu anaweka penseli 5 mezani. Mwanafunzi anaonyesha penseli ya kwanza akisema “1”, ya pili “2”, hadi “5”.
Picha ya penseli zilizopangwa mstari mmoja zikiwa na namba juu yake
Picha ya penseli zilizopangwa mstari mmoja zikiwa na namba juu yake
Kuhesabu Vitu kwa Mpangilio Sahihi (1, 2, 3, …)
Mtoto hujifunza kutaja namba kwa mpangilio sahihi bila kuruka au kurudia namba. Hii humsaidia kujenga ufasaha wa kuhesabu hadi 200 kulingana na uwezo wake.
Tunapohesabu, tunaanza na moja, kisha mbili, tatu, nne…
Example 2
Mfano wa Maisha Halisi: Mtoto anahesabu wanafunzi waliokaa mstari kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho.
Picha ya watoto wamesimama mstari mmoja wakiwa wanahesabiwa.
Picha ya watoto wamesimama mstari mmoja wakiwa wanahesabiwa.
Picha ya watoto wakihesabu maembe, machungwa na ndizi.
Activity 1
Chunguza picha kwa uangalifu, halafu hesabu vitu tafauti kama wanavyo hesabu hao watoto
Video ya wimbo wa kuhesabu (1–20 au zaidi) kwa Kiswahili.
Tujaribu kurekebisha picha ya maembe
Video 1
Kuhesabu kwakupanga vitu kulingana na sifa zake.
Kuhesabu kwakupanga vitu kulingana na sifa zake.
Maudhui (Contents)
  • Kupanga vitu kwa rangi, aina au ukubwa.
  • Kuhesabu kila kundi baada ya kupanga.
Picha za kuhesabu vitu tofauti
Picha za kuhesabu vitu tofauti
Video fupi ya mtoto akihesabu machungwa moja moja.
Kuhesabu vitu tafauti.
Kuhesabu vitu tafauti.
Kuhesabu vitu tofauti kwa watoto wa Darasa la Kwanza
Kuhesabu vitu tofauti ni shughuli ya msingi ya Hisabati inayolenga kuwasaidia watoto wa Darasa la Kwanza kutambua namba kwa kuhesabu vitu halisi vinavyowazunguka.
Maudhui Pamoja na Picha na Video
1. Kuhesabu vitu vya aina tofauti kwa pamoja
Picha ya watoto wakihesabu vitu tofati
Picha ya watoto wakihesabu vitu tofati
Picha inaonesha matumizi ya nambari katika kuhesabu vitu tafauti
Kuhesabu mikungu ya ndizi inayoonekana kwenye picha ya soko
Picha ya soko la Zanzibar lenye matunda mbalimbali na samaki.
Picha ya soko la Zanzibar lenye matunda mbalimbali na samaki.
Picha ina onesha matumizi ya nambari katika kuhesabu vitu tafauti
Hizi picha ni za AI lakini zimefanana sana na picha halisi. ikiwezekana bora zibadilishwe na tuweka cartoon
video haijawekwa
Kusoma Nambari (kuanzia1 hadi 200)
Utangulizi:
Kusoma nambari (1–200) ni msingi wa hisabati, kwani hutumika kila siku katika kuhesabu, kupima muda, kufanya biashara na kutambua nafasi. Uelewa huu hujenga msingi wa kufanya hesabu rahisi na kulinganisha nambari.
Matokeo mahususi
Kubainisha maumbo ya nambari
Kubainisha maumbo ya nambari
Kupanga nambari kwa mtiririko wake
Kupanga nambari kwa mtiririko wake
Maudhui: Kupanga nambari kwa mtiririko ni kitendo cha kupanga nambari kufuata mpangilio sahihi kuanzia ndogo hadi kubwa au kubwa hadi ndogo.
Ujuzi huu humsaidia mwanafunzi kutambua mfuatano wa nambari, kulinganisha nambari, na kuhesabu kwa usahihi katika maisha ya kila siku.
Picha ya chati ya nambari moja mpaka 200
Picha ya chati ya nambari moja mpaka 200
Example 3
Panga nambari zifuatazo kwa mtiririko
23, 36, 30, 29, 31, 27, 24, 35, 25, 34, 28, 26, 29, 31, 33, 32
Jawabu: 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36.
Kusoma nambari kwa usahihi
Kusoma nambari kwa usahihi
Kusoma nambari kwa usahihi ni msingi muhimu wa kujifunza hesabu. Mwanafunzi anapaswa kutambua kila nambari kwa jina lake sahihi, bila kuchanganya tarakimu.
Mifano ya kusoma nambari kwa usahihi:
Example 4
Kitendo cha kwanza
Picha ya jedwali la nambari na maneno yake
Picha ya jedwali la nambari na maneno yake
  1. 7 — soma: saba
  2. 15 — soma: kumi na tano
  3. 28 — soma: ishirini na nane
  4. 40 — soma: arobaini
  5. 63 — soma: sitini na tatu
  6. 105 — soma: mia moja na tano
  7. 119 — soma: mia moja na kumi na tisa
  8. 140 — soma: mia moja na arobaini
  9. 108 — soma: mia moj na nane
  10. 199 — soma: mia moja na tisini na tisa
Nambari ni ni ndogo sana kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum (LSN)
Example 5
Kitendo cha pili
Kuoanisha kadi ya nambari na maneno
Picha ya kadi za nambari na maneno yake
Picha ya kadi za nambari na maneno yake
Kuandika Nambari (kuanzia 1 hadi 200).
Kuandika nambari kwa kufuata hatua
Kuandika nambari kwa kufuata hatua
Activity 2
Soma kwa uangalifu hatua za uandishi wa nambari
  1. Anza juu ya mstari.
  2. Shusha kalamu taratibu.
  3. Fuata umbo la nambari vizuri.
  4. Maliza chini ya mstari.
  5. Rudia kuandika mpaka uizoe.
Inaonekana kama haijakamilika
Kutafautisha muandiko wa nambari
Kutafautisha muandiko wa nambari
Activity 3
Soma kwa uangalifu:Kutafautisha muandiko wa nambari maana yake ni kujua tofauti ya namna kila nambari inavyoandikwa na kuonekana.
  1. 1 → mstari mmoja wima
  2. 2 → huanza kwa mviringo juu na kumalizia mstari wa kulala
  3. 3 → ina miviringo miwili
  4. 4 → ina mstari wa kulala na wa kushuka
  5. 5 → huanza juu kwa mstari wa kulala na kuzunguka chini
  6. 6 → duara chini
  7. 7 → mstari wa kulala juu na mshazari
  8. 8 → duara mbili
  9. 9 → duara juu na mstari chini
  10. 0 → duara moja
Inaonekana kama haijakamilika
Kuandika nambari kwa usahihi
Kuandika nambari kwa usahihi
Activity 4
Soma na uandike nambari kwa usahihi
Inaonekana kama haijakamilika
Exercise 1
Fanya mazoezi yafuatayo kwa usahihi
Listening to this topic