Maarifa ya Jamii Darasa la VI Syllabus
-
-
Utunzaji wa Mazingira
-
Maana ya Mazingira
-
Faida za Mazingira
-
Utunzaji wa Mazingira
-
Uharibifu wa Mazingira
-
Kuzuia Uharibifu wa Mazingira
-
-
Kutunza Kumbukumbu katika Matukio ya Kihistoria
-
Matukio ya Kijamii
-
Njia ya Kutunza Matukio ya Kijamii
-
-
Elimu ya Hali ya Hewa katika Mazingira ya Kila Siku
-
Dhana ya Hali ya Hewa
-
Mabadiliko ya Hali ya Hewa ya Mvua
-
-
-
-
Kufahamu mfumo wa jua
-
Kufafanua dhana ya kupwa na kujaa
-
Kufafanua kupatwa kwa mwezi na jua
-
Kuchambua dhana ya dunia kulizunguka jua
-
Kufafanua mizunguko ya dunia
-
Kujadili mfumo wa jua
-
-
Kufahamu mfumo wa jua (katika mazingira yanayomzu nguka)
-
Kufafanua vitu vinavyounda mfumo wa jua
-
-
Kutumia stadi za ujasiriamali katika shughuli za kila siku
-
Kuainisha fursa zilizopo katika mazingira yenye madini, mbuga za wanyama na misitu.
-
-
Kutumia ramani katika mazingira
-
Kuchora na kusoma ramani ya Tanzania
-
Kuchora ramani ya kijiji/mtaa na wilaya
-
Kuchora na kusoma ramani ya mkoa anamoishi
-
Kutumia pande nane za dunia
-
-
Kutumia ramani katika mazingira mbalimbali
-
Kuchora ramani za vitu mbali mbali shuleni
-
Kubainisha vitu halisi vilivyomo darasani
-
-
Kutumia stadi za ujasiriamali katika shughuli za jamii
-
Kufafanua vikwazo katika kutambua fursa zilizopo katika mazingira
-
Kuelezea dhana ya ujasiriamali
-
-
Kutambua shughuli za uzalishaji mali katika jamii
-
Kufafanua vikwazo katika uzalishaji mali
-
Kuchambua shughuli za uzalishaji mali zinavyochochea uhusiano baina ya Tanzania na nchi nyingine
-
Kutathmini shughuli za uzalishaji mali zilizopo sasa nchini Tanzania
-
-
Kuthamini na kulinda rasilimali za nchi
-
Kuelezea njia za kushiriki katika kulinda rasilimali zetu
-
Kuchambua rasilimali zilizopo Tanzania
-
-
-
-
Kuthamini mashujaa wetu katika jamii
-
Kutathmini mchango wa mashujaa wa Afrika
-
Kuchambua mashujaa wa Afrika
-
Kutathmini harakati za ukombozi zilizopo sasa katika jamii zetu (kiuchumi, kisiasa, kijamii, na kiutamaduni)
-
-
Kujenga uhusiano mwema kwa jamii inayomzun guka
-
Kufafanua njia za kuimarisha uhusiano baina ya Tanzania na nchi nyingine za Afrika
-
Kuchambua uhusiano baina ya Tanzania na nchi za Afrika
-
-
Kudumisha utamaduni wa Mtanzania
-
Kufafanua umuhimu wa utamaduni katika jamii
-
Kuchambua utamaduni wa Mtanzania
-
-
-
-
Kuthamini mashujaa wetu
-
Kuchambua mashujaa wa Afrika waliopinga uvamizi wa nchi zao
-
Kufafanua mchango wa viongozi wakuu wa Serikali ya Tanzania tangu uhuru
-
Kuainisha uvamizi uliopo sasa katika nchi za Afrika
-
Kubainisha viongozi wakuu wa Serikali ya Tanzania tangu uhuru
-
-
Kujenga uhusiano mwema kwa jamii inayomzu nguka
-
Kufafanua uhusiano wake na rafiki zake
-
Kuchambua dhana ya familia
-
-
Kujenga uhusiano mwema kwa jamii inayomzu nguka.
-
Kufafanua matokeo ya uhusiano baina ya Tanganyika na nchi za Ulaya hadi 1961
-
Kuchambua mbinu zilizotumika kuanzisha uhusiano baina ya Tanganyika na nchi za Ulaya hadi 1961.
-
Kuchambua uhusiano baina ya Tanzania na nchi za Ulaya hadi mwaka 1961.
-
-
Kudumisha utamaduni wa Mtanzania
-
Kuainisha vielelezo vyote vya utamaduni
-
Kucheza na kuimba nyimbo za utamaduni zinazo fahamika
-
Kuonyesha matendo ya kusalimiana ya makabila ya kitanzania
-
-