Maarifa ya Jamii Darasa la III Syllabus

    1. Kutumia stadi za ujasiriamali katika shughuli za kila siku
      1. Kubainisha shughuli za uzalishaji katika maeneo yenye maziwa, bahari, pamoja na shehemu zenye miji wafugaji na viwanda
    2. Kutambua shughuli za uzalishaji mali katika jamii
      1. Kufafanua njia za kuboresha shughuli za uzalishaji mali
      2. Kutofautisha shughuli za uzalishaji mali zilizokuwepo kabla na baada ya uhuru
    3. Kuthamini na kulinda rasilimali za nchi
      1. Kufafanua mikakati ya kulinda rasilimali za mkoa anamoishi
      2. Kuainisha rasilimali zilizopo katika mkoa anamoishi
    1. Kutambua shughuli za uzalishaji mali katika jamii
      1. Kubainisha shughuli za uzalishaji mali katika kijiji/ mtaa na kata anamoishi.
    2. Kuthamini na kulinda rasilimali za nchi
      1. Kutathimini rasilimali zilizopo katika Wilaya anamoishi
      2. Kuchambua njia za kutunza na kulinda rasilimali katika kijiji/ mtaa na kata anamoishi
      3. Kuanisha rasilimali zilizopo katika kijiji/ mtaa na kata anamoishi
    1. Rasilimali za Nchi
      1. Idadi ya Watu na Makazi na Athari zake katika shughuli za uzalishaji mali
    2. Shughuli za Uzalishaji Mali katika Maendeleo ya Jamii
      1. Shughuli za Kiuchumi na Faida zake katika Nchi za Afrika Mashariki
      2. Shughuli za Utalii zilizopo Afrika Mashariki, mchango wake katika Uchumi
    3. Ujasiriamali
      1. Mchango wa Ujasiriamali katika ukuaji wa uzalishaji mali
      2. Fursa katika njia za uchukuzi katika mazingira yetu
      3. Madhara ya njia zisizo halali za ujasiriamali na namna zinavyoathiri maendeleo ya jamii
    1. Kulinda Rasilimali za Nchi
      1. Rasilimsli zilizopo katika Kijiji
      2. Njia za Kutunza Rasilimali za Nchi katika Kijiji na Wilaya
    2. Shughuli za Uzalilishaji Mali katika Jamii
      1. Shughuli Mbalimbali za Walishaji Mali
      2. Vikwazo
      3. Fursa Zilizopo katika Madini, Mbuga za Wanyama na Misitu