Kiswahili Darasa la III Syllabus
-
-
Kutumia msamiati katika kusoma na kuchanganua mawazo yaliyo wasilishwa katika matini mbalimbali
-
Kusoma sentensi na kubaini maneno yanayoonesha umiliki na kubadili sentensi hizo kuwa katika kinyume
-
Kusoma sentensi na kubaini maneno ya ulinganishi wa vitu na watu (kama, sawa na, kama vile, sawasawa) ili kujenga dhana ya ulinganishi
-
Kusoma kifungu cha habari na kubaini majina ya miti
-
Kusoma na kubaini majina ya wanyama wanaokula majani na kueleza sifa na faida zao
-
Kusoma na kubaini majina ya wanyama wanaokula nyama na kuelezea sifa na faida zao katika jamii
-
-
Kusoma kwa ufasaha na kuonesha uelewa wa matini mbalimbali
-
Kusoma kimya kifungu cha habari na kujibu maswali
-
Kusoma ili kubaini mawazo makuu kutoka katika habari teule
-
Kubaini taarifa mahususi za kila siku kutoka katika majarida, matangazo na ratiba mbalimbali na kufanya ufupisho wake
-
Kubaini wahusika katika kifungu cha habari na kuwatolea ufafanuzi
-
Kubaini miundo kutoka katika kifungu cha habari kinachohusu watoto wanaoishi katika mazigira magumu
-
Kusoma ngonjera kwa sauti ya kutamba na kubaini maudhui yake
-
Kusoma tenzi kwa sauti ya kishairi na kubaini ujumbe wake
-
Kusoma mashairi kwa sauti ya kishairi na kubainisha mawazo makuu yaliyojitokeza
-
-
Kusikiliza na kuonesha uelewa wa jambo alilolisikiliza
-
Kuchambua kauli taarifa kwa kubainisha nafsi na nyakati za utendaji
-
Kuchambua kauli halisi kwa kubainisha nafsi na nyakati za utendaji
-
Kubaini maudhui yaliyomo katika igizo dhima na kuchambua hoja kuu zilizojitokeza
-
Kutegua vitendawili na kuonesha umuhimu wake katika jamii
-
-