Kusoma Darasa la II Syllabus
-
-
Kusoma kifungu cha habari kwa muundo stahili na hisia ili kujenga ufasaha wa kusoma.
-
Usomaji wa kifungu cha habari kwa mwendo stahili na hisia ili kujenga ufasaha unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusoma hadithi rahisi ili kuendeleza ufasaha katika kusoma
-
Usomaji wa hadithi rahisi ili kuendeleza ufasaha unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusoma hadithi fupi kwa kuzingatia alama za uandishi [mkato (,) , nukta (.), alama ya kuuliza (?) na mshangao (!)] kujenga ufasaha wa kusoma.
-
Usomaji wa hadithi fupi kwa kuzingatia alama za uandishi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kusoma kwa kutembeza macho haraka katika mistari iliyounda kifungu cha habari ili kujenga ufasaha wa kusoma
-
Usomaji wa kutembeza macho haraka katika mistari iliyounda kifungu cha habari ili kujenga ufasaha wa kusoma
-
-
Kusoma kwa ufasaha herufi, silabi, maneno, sentensi kwa kutumia chati na vifungu vya habari
-
Usomaji wa herufi, silabi, maneno na sentensi kwa kutumia chati mbalimbali na vifungu vya habari unafanyika kwa ufasaha.
-
-
-
-
Kutenganisha maneno yanayoundwa na herufi mwambatano na maneno sahili katika sentensi.
-
Utenganisha wa maneno yanayoundwa na herufi mwambatano na maneno sahili katika sentensi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha maneno yenye kuundwa na herufi mwambatano na maneno sahili ili kuunda sentensi.
-
Uunganishaji wa maneno yenye kuundwa na herufi mwambatano na maneno sahili ili kuunda sentensi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha silabi za herufi mwambatano na silabi sahili katika maneno yaliyoundwa na silabi tatu.
-
Utenganishaji wa silabi za herufi mwambatano na silabi sahili katika maneno yaliyoundwa na silabi tatu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha silabi za herufi mwambatano na silabi sahili katika kuunda maneno yenye silabi tatu.
-
Uunganishaji wa silabi za herufi mwambatano na silabi sahili katika kuunda maneno yenye silabi tatu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha sauti za herufi mwambatano na irabu zinazounda silabi.
-
Utenganishaj i wa sauti za herufi mwambatano na irabu zinazounda silabi zinafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuungaisha sauti za herufi mwambatao na irabu katika kuunda silabi.
-
Uuganishaji wa sauti za herufi mwambatao na irabu katika kuunda silabi kwa usahihi
-
-
Kuhusianisha sauti na herufi mwambatano (dhDH, thTH, ng'NG', mbwMBW, ngwNGW, chwCHW, ndwNDW) kwa kutumia kadi za herufi mwambatano.
-
Uhusianishaji wa sauti na herufi mwambatano ( dhDH, thTH, ng'NG', mbwMBW, ngwNGW, chwCHW, ndwNDW) kwa kutumia kadi za herufi mwambatano unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutengaisha maneno yanaounda sentensi.
-
Utenganishaji wa maneno na kutamka maneno yanayounda sentensi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha maneno iii kuunda sentensi.
-
Utenganishaji na utamshaji wa silabi zinazounda maneno yenye silabi tatu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kutenganisha na kutamka silabi zinazounda maneno yenye silabi tatu.
-
Utenganishaji na utamkaji wa silabi zinazounda maneno yenye silabi tatu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kuhusianisha sauti na konsonanti (bB, mM, kK, dD, nN); (IL, tT, pP, sS, tF,jJ); (gG, yY, zZ, hH, rR, wW, vVchCH) kwa kutumia kadi za herufi.
-
Uhusianishaji wa sauti na konsonanti unafanyika kwa usahihi kwa kutumia kadi za herufi.
-
-
Kutenganisha sauti za irabu zinazounda maneno yenye silabi mbili.
-
Sauti za irabu zinazounda maneno yenye silabi mbili zinatenganishwa kwa usahihi.
-
-
Kuunganisha silabi mbili zinazoundwa na sauti za irabu ( a, e, i, o, u) na kuunda maneno yenye maana.
-
Silabi mbili zinazoundwa na sauti za irabu zinaunganishwa na kuunda maneno yenye maana sahihi.
-
-
-
-
Kubaini sauti za mwanzo za maneno.
-
Ubainishaji wa sauti za mwanzo za maneno unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini silabi katika maneno yaliyoundwa na silabi mbili.
-
Ubainishaji wa silabi zilizounda maneno yenye silabi mbili unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini maneno yanayounda sentensi kwa kupiga makofi.
-
Ubainishaji wa maneno yanayounda sentensi tofauti kwa kupiga makofi unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini sauti zitolewazo na viungo vya mwili na vifaa vingine vinavyotoa sauti.
-
Sauti zitolewazo na viungo vya mwili na vitu vingine vinavyotoa sauti zinabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini sauti za wanyama na ndege.
-
Sauti za wanyama na ndege zinabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kuunganisha sauti zinazounda maneno yenye silabi tatu kutokana na maneno yaliyotamkwa kwa kutenganishwa
-
Uunganishaji wa sauti zinazounda maneno yenye silabi tatu kutokana na maneno yaliyotamkwa kwa kutenganishwa.
-
-
Kubainisha kwa kutaja sauti za mwanzo na sauti za mwisho katika maneno yenye silabi tatu.
-
Kubainisha kwa kutaja sauti za mwanzo na sauti za mwisho katika maneno yenye silabi tatu unafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini kwa kutamka sauti zilizounda maneno teule.
-
Ubainishaji kwa kutamka sauti zilizounda maneno teule unafanyika kwa usahihi.
-
-