Kuhesabu Darasa la II Syllabus
-
-
Kubaini vipimio vinavyotumika katika mazingira yetu.
-
Vipimio vinavyotumika kupima vitu mbalimbali vinabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha vipimo vya uzito
-
Vipimo vya uzito vinabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini vitu mbalimbali vinavyopimwa.
-
Vitu mbalimbali vinavyopimwa vinabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha vipimo vya urefu
-
Vipimo vya urefu vinabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kutoa fedha za Tanzania na kupata thamani isiyozidi shilingi 1000
-
Kutoa fedha za Tanzania na kupata thamani isiyozidi shilingi 1000 kufanyika kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha fedha za Tanzania na kupata thamani isiyozidi shilingi 1000
-
Kujumlisha fedha za Tanzania na kupata thamani isiyozidi shilingi 1000 kunafanyika kwa usahihi.
-
-
Kulinganisha thamani ya noti za benki ya Tanzania
-
Kulinganisha thamani ya noti za benki ya Tanzania kunafanyika kwa usahihi.
-
-
Kubaini noti za benki ya Tanzania
-
Noti za benki ya Tanzania zinabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kulinganisha thamani ya sarafu za Tanzania
-
Sarafu za Tanzania zinalinganishwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini sarafu za Tanzania
-
Sarafu za Tanzania zinabainishwa kwa usahihi
-
-
-
-
Kuandika ¼.
-
Robo inaandikwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha thamani ya namba (mamoja, makumi na mamia)
-
Thamani ya namba (mamoja, makumi na mamia) inabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kusoma ¼.
-
Robo inasomwa kwa usahihi.
-
-
Kuandika namba 100 hadi 1000
-
Namba kuanzia 100 hadi 1000 zinaandikwa kwa usahihi
-
-
Kubaini ¼ .
-
Robo inabainishwa kwa usahihi.
-
-
Kujaza namba katika nafasi wazi kwa mfuatano
-
Namba katika nafasi wazi mfuatano zinajazwa kwa usahihi
-
-
Kuandika ½.
-
Nusu inaandikwa kwa usahihi.
-
-
Kusoma namba kuanzia 100 hadi 1000
-
Namba kuanzia 100 hadi 1000 zinasomwa kwa usahihi.
-
-
Kuhesabu vitu kwanzia 100 hadi 1000
-
Vitu tofauti kuanzia 100 hadi 1000 vinahesabiwa kwa usahihi.
-
-
Kusoma ½ .
-
Nusu inasomwa kwa usahihi.
-
-
Kubaini nusu.
-
Nusu inabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kuandika mbili ya tatu
-
Mbili ya tatu inaandikwa kwa usahihi.
-
-
Kusoma mbili ya tatu
-
Mbili ya tatu inasomwa kwa usahihi
-
-
Kubaini mbili ya tatu ya vitu
-
Mbili ya tatu ya vitu inabainishwa kwa usahihi
-
-
Kuandika moja ya tatu
-
Moja ya tatu inaandikwa kwa usahihi.
-
-
Kusoma moja ya tatu
-
Moja ya tatu inasomwa kwa usahihi.
-
-
Kubainisha moja ya tatu ya vitu
-
Moja ya tatu ya vitu inabainishwa kwa usahihi.
-
-
-
-
Kutoa namba
-
Kutoa namba kunafanyika kwa usahihi.
-
-
Kufanya mazoezi ya kupunguza idadi ya vitu kutoka kwenye kiwango alichopewa
-
Kupunguza idadi ya vitu kutoka kwenye kiwango alichopewa kinafanyika kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 1000
-
Namba kupata jumla isiyozidi 1000 vinajumlishwa kwa usahihi.
-
-
Kujumlisha vitu kupata jumla isiyozidi 1000
-
Vitu kupata jumla isiyozidi 1000 vinajumlishwa kwa usahihi.
-
-