Uraia na Maadili Darasa la V Syllabus

    1. Kujenga urafiki mwema na mataifa mengine
      1. Kutambua nchi rafiki na Tanzania
      2. Kutofautisha rafiki anayefaa na asiyefaa
    2. Kuheshimu tofauti za kiutamaduni na mitazamo miongoni mwa watu wa jamii tofauti
      1. Kukemea mila na desturi potofu
      2. Kuonesha tabia ya kujifunza tamaduni za makabila tofauti
      3. Kueleza dhana ya utamaduni
    3. Kuchangamana na watu wenye asili tofauti
      1. Kutenda matendo yenye kudumisha upendo na amani miongoni mwa watu wa asili tofauti
      2. Kufanya kazi pamoja bila kujali tofauti za asili ya mtu
      3. Kutambua asili ya watu waishio Tanzania
    1. Kusimamia haki
      1. Kueleza matendo yasiyo ya haki anayo fanyiwa mtoto
      2. Kueleza haki za binadamu
      3. Kutambua wajibu na haki za mtoto
    2. Kutimiza majukumu yake kwa uwazi na ukweli
      1. Kubaini matendo yanayo dhihirisha tabia ya uongo
      2. Kuonesha tabia ya kuwa mkweli na muwazi
    3. Kuaminika katika jamii
      1. Kutambua matendo ya usaliti
      2. Kueleza vitendo vinavyovunja uaminifu
      3. Kutenda matendo yanayojenga tabia ya uaminifu
    1. Kujifunza kwa kuchanganua mambo kiyakinifu
      1. Kujifunza maarifa mapya kwa kudadisi mambo mbalimbali
    2. Kufikia malengo aliyojiwekea kwa kuwa na mtazamo chanya
    3. Kuonesha tabia ya kufanya kazi na kumaliza kwa wakati
    4. Kuvumilia katika maisha ya kila siku
      1. Kuwasiliana kwa lugha inayofaa pindi anapoudhiwa
      2. Kufanya vitendo vya kuwavumilia watu wenye haiba tofauti
      3. Kuonesha tabia ya kuwakubali watu wengine jinsi walivyo
    1. Kulinda rasilimali na maslahi ya nchi
      1. Kufafanua nji a za kutunza na kuhifadhi rasilimali kuu za Taifa
    1. Kujenga uhusiano mzuri na watu wengine katika jamii
      1. Kushiriki katika kutatua shida na matatizo yanayo wakabili watu wanao mzunguka
      2. Kueleza namna bora ya kukuza uhusiano na watu wengine
    2. Kutunza mazingira na vilivyomo
      1. Kuelimisha jamii juu ya athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira
      2. Kutathmini hali ya uharibifu wa mazingira katika eneo analoishi /shuleni
    3. Kujijali na kuwajali wengine
      1. Kukemea matendo maovu yanayofanywa dhidi ya watoto
      2. Kutambua matendo ya kikatili yanayofanywa ndani ya familia
    1. Kuipenda Tanzania kwa kuenzi tunu mbalimbali za nchi
      1. Kufafanua muundo wa serikali ya Kata, Wilaya na Mkoa
      2. Kushiriki katika siku kuu za Kitaifa
      3. Kufafanua matumizi ya alama za Taifa
      4. Kutenda matendo yanayo dumisha utamaduni wa Taifa
      5. Kufafanua mila na desturi za Kitanzania
    2. Kupenda na kujivunia mambo mazuri ya shule yote
      1. Kufanya shughuli za kujitolea shuleni
      2. Kuchora nembo ya shule yake
      3. Kufafanua mambo mazuri yanayo tambulisha shule yake
    3. Kujipenda na kuwapenda watu wengine
      1. Kuvaa mavazi yenye staha katika muktadha mbalimbali
      2. Kutenda matendo yenye kuheshimu jinsi
      3. Kutenda matendo yenye kuonesha upendo kwa watu wenye mahitaji maalumu