Hisabati Darasa la V Syllabus

    1. Kutumia stadi za aljebra katika maisha ya kila siku
      1. Kugawa mitajo
      2. Kuzidisha mitajo kupata zao lisilohusisha kipeo zaidi ya cha pili
      3. Kutoa mitajo
      4. Kujumlisha mitajo
      5. Kuunda sentensi za kialjebra
    2. Kutumia stadi za takwimu kuwasilisha taarifa mbalimbali
      1. Kusoma na kutafsiri grafu kwa mihimili
      2. Kukokotoa wastani kutokana na data mbalimbali
    1. Kutumia stadi za maumbo katika maisha ya kila siku
      1. Kutengeneza mapambo kwa kutumia maumbo bapa katika mazingira yanayo mzunguka
      2. Kuchora maumbo bapa
      3. Kutengeneza baadhi ya maumbo bapa
      4. Kutaja majina ya baadhi ya maumbo bapa
      5. Kubaini maumbo bapa na yasiyo bapa
    2. Kutumia stadi za maumbo kufumbua mafumbo katika muktadha wa Hisabati
      1. Kutengeneza maumbo ya ukumbi
      2. Kuchora maumbo ya ukumbi
      3. Kuorodhesha maumbo ya ukumbi
      4. Kukokotoa eneo la trapeza
      5. Kukokotoa eneo la msambamba
      6. Kukokotoa mzingo wa maumbo ya msambamba na trapeza
      7. Kutaja sifa za maumbo ya pembenne
      8. Kubaini maumbo ya pembenne
      9. Kukokotoa pembe
      10. Kubaini mistari sambamba na sulubi
      11. Kuchora pembe kwa vipimo
      12. Kupima pembe kwa vipimo
    3. Kutumia stadi za vipimo katika muktadha mbalimbali
      1. Kupima uzani wa vitu kwa kulinganisha, kusoma na kurekodi
      2. Kubaini vipimo vya uzani
      3. Kupima, kusoma na kurekodi urefu wa vitu
      4. Kubaini vipimio vya urefu
    4. Kutumia stadi za vipimo katika muktadha mbalimbali
      1. Kufumbua mafumbo yanayohusu vipimo vya metriki
      2. Kugawanya vipimo vya ujazo vya metriki
      3. Kuzidisha vipimo vya ujazo vya metriki
      4. Kugawanya vipimo vya uzani vya metriki
      5. Kuzidisha vipimo vya uzani vya metriki
      6. Kugawanya vipimo vya urefu vya metriki
      7. Kuzidisha vipimo vya urefu vya metriki
    1. Kutumia matendo ya namba ya kihisabati katika kutatua matatizo
      1. Kufumbua mafumbo yanayohusu kujumlisha
      2. Kugawanya namba kamili
      3. Kuzidisha namba kamili
      4. Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 999999 kwa kubadili
      5. Kutoa namba kamili
      6. Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 999999 bila kubadili
      7. Kujumlisha namba kamili
      8. Kugawanya namba kupata jibu lisilozidi nafasi mbili za desimali
      9. Kuzidisha namba yenye nafasi hadi tatu za desimali kwa namba nzima
      10. Kuzidisha namba ya desimali yenye nafasi hadi mbili kwa namba ya desimali yenye nafasi moja
      11. Kutoa desimali hadi nafasi tatu
      12. Kufumbua mafumbo yanayohusu kugawanya
      13. Kugawanya namba isiyozidi milioni kumi ikiwa na baki
      14. Kugawanya namba isiyozidi milioni kumi bila baki
      15. Kufumbua mafumbo yanayohusu kutoa
      16. Kutoa namba hadi milioni kumi bila kuchukua
      17. Kufumbua mafumbo yanayohusu kujumlisha namba
      18. Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 10000000 kwa kubadili
      19. Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 10000000 bila kubadili
    2. Kutumia stadi ya uhusiano wa namba na vitu
      1. Kufumbua mafumbo yanayohusu fedha
      2. Kutoa fedha za Tanzania zisizozidi sh. 9999
      3. Kujumlisha fedha za Tanzania kupata jumla isiyozidi sh. 9999
      4. Kutaja umuhimu wa noti na matumizi ya fedha
      5. Kubaini noti za Tanzania zenye thamani tofautitofauti
      6. Kutaja majina ya miezi na idadi ya siku
      7. Kutaja idadi ya siku katika wiki na majina yake
      8. Kubaini saa katika siku kwa kutumia mtindo wa saa 12
      9. Kubaini vipimo mbalimbali vya wakati
    3. Kutumia stadi ya uhusiano wa namba na vitu katika muktadha mbalimbali
      1. Kufumbua mafumbo ya fedha yanayohusu faida na hasara
      2. Kufumbua mafumbo yanayohusu wakati
      3. Kubadili wakati kutoka mtindo wa saa 24 kwenda 12
      4. Kubadili wakati kutoka mtindo wa saa 12 kwenda 24
      5. Kuandika wakati kwa mtindo wa saa 24
      6. Kusoma wakati kwa mtindo wa saa 24
      7. Kuandika wakati kwa mtindo wa saa 12
      8. Kusoma wakati kwa mtindo wa saa 12
    4. Kutumia matendo ya namba ya kihisabati
      1. Kujumlisha namba kupata jumla isiyozidi 9999 bila kubadili
    1. Kutumia dhana ya namba katika kuwasiliana katika mazingira tofauti
      1. Kuandika desimali hadi nafasi mbili
      2. Kukadiria namba za desimali
      3. Kusoma desimali hadi nafasi mbili
      4. Kukadiria namba nzima
      5. Kuandika desimali hadi nafasi tatu
      6. Kubaini aina za sehemu
      7. Kusoma desimali hadi nafasi tatu
      8. Kulinganisha sehemu
      9. Kubaini thamani ya tarakimu katika namba (mamoja, makumi, mamia, maelfu, makumi elfu na mamia elfu)
      10. Kuorodhesha namba kamili katika mstari
      11. Kuandika namba kwa maneno hadi 999999
      12. Kubaini thamani ya tarakimu katika namba (mamoja, makumi, mamia, maelfu, makumi elfu, mamia elfu na mamilioni)
      13. Kuandika namba kwa maneno hadi 10000000
      14. Kuandika namba kwa tarakimu hadi 999999
      15. Kusoma namba hadi 999999
      16. Kuandika namba kwa tarakimu hadi 10000000
      17. Kuhesabu hadi 999999 kwa mfuatano
      18. Kusoma namba hadi 10000000
      19. Kuhesabu hadi 10000000 kwa mfuatano