Uraia na Maadili
Kuithamini jamii
Kuithamini jamii
Kujenga uhusiano mzuri na watu wengine katika jamii
Kushiriki katika kutatua shida na matatizo yanayo wakabili watu wanao mzunguka
Kueleza namna bora ya kukuza uhusiano na watu wengine
Kutunza mazingira na vilivyomo
Kuelimisha jamii juu ya athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira
Kutathmini hali ya uharibifu wa mazingira katika eneo analoishi /shuleni
Kujijali na kuwajali wengine
Kukemea matendo maovu yanayofanywa dhidi ya watoto
Kutambua matendo ya kikatili yanayofanywa ndani ya familia
Listening to this topic