Sayansi Darasa la V Syllabus
-
-
Kutambua mifumo mbalimbali ya mwili wa binadamu
-
Kubaini mitindo inayofaa ya maisha inayoweza kuepusha kasoro katika mfumo wa utoaji taka mwilini
-
Kuchora mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
-
Kueleza njia za uzazi wa mpango
-
Kuainisha sehemu za mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
-
Kubaini mitindo ya maisha inayoweza kusababisha kasoro katika mfumo wa utoaji taka mwilini
-
Kueleza dhana ya balehe kwa msichana na mvulana
-
Kueleza dhana ya mfumo wa utoaji taka mwilini
-
Kutofautisha kasoro zinazoweza kutokea katika mfumo wa uzazi wa kike na kiume
-
Kubaini mfumo wa Uzazi
-
Kubaini kasoro zinazoweza kutokea katika mfumo wa damu
-
Kufafanua mfumo wa damu
-
-
Kufuata kanuni za afya ili kujenga afya bora
-
Kuchanganua makundi mbalimbali ya watu wanaohitaji huduma ya afya
-
Kueleza njia za kujikinga na maambukizi ya VVU
-
Kueleza njia za maambukizi ya magonjwa ya mlipuko
-
Kubaini magonjwa ya kurithi
-
Kueleza dhana ya magonjwa ya mlipuko (chanzo dalili na athari)
-
Kupanga vyakula vinavyounda mlo kamili
-
Kueleza athari za VVU na UKIMWI katika familia, jamii na Taifa
-
Kueleza dhana ya mlo kamili
-
Kueleza tabia zinazosaidia kutunza afya
-
Kubaini kanuni za afya
-
Kueleza uhusiano uliopo kati ya magonjwa ya ngono na virusi vya UKIMWI
-
Kueleza umuhimu wa usafi na usalama wa lishe kwa mtu anayeishi wa VVU na UKIMWI
-
-
Kufuata kanuni za usafi ili kuwa na afya na mazingira bora
-
Kufanya vitendo vya kutoa huduma ya kwanza kwa aliyevunjika mfupa, aliyeumwa na nyoka, aliyezama kwenye maji na anayetapika au kuharisha
-
Kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumwa na wadudu hatari au wenye sumu
-
Kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua na moto au kimiminika cha moto
-
Kuainisha vyanzo vya uchafu na taka
-
Kuangamiza wadudu wanaoeneza magonjwa
-
Kueleza dhana ya huduma ya kwanza
-
Kudumisha usafi wa mwili na unadhifu wa mavazi
-
Kueleza umuhimu wa kudumisha usafi na unadhifu wa mavazi
-
Kutunza vifaa vya kufanyia usafi wa mwili na mavazi
-
Kueleza umuhimu wa kufanya usafi wa mwili na mavazi
-
-
-
-
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
-
Aina za Antena/Dishi na namna Zinavyotumika
-
Sifa za Antena na Dishi
-
-
Stadi za Kisayansi
-
Muundo wa Mashine Tata
-
Taratibu za Kutunza Mashine Tata
-
-
Majaribio ya Kisayansi
-
Namna ya Kuzima Moto
-
Jaribio la Tabia za Tindikali na Nyongo
-
Vichocheo vya Kutu, namna ya Kuzuia Kutu
-
-