Uraia na Maadili
Kuheshimu jamii
Kuheshimu jamii
Kuipenda Tanzania kwa kuenzi tunu mbalimbali za nchi
Kufafanua muundo wa serikali ya Kata, Wilaya na Mkoa
Kushiriki katika siku kuu za Kitaifa
Kufafanua matumizi ya alama za Taifa
Kutenda matendo yanayo dumisha utamaduni wa Taifa
Kufafanua mila na desturi za Kitanzania
Kupenda na kujivunia mambo mazuri ya shule yote
Kufanya shughuli za kujitolea shuleni
Kuchora nembo ya shule yake
Kufafanua mambo mazuri yanayo tambulisha shule yake
Kujipenda na kuwapenda watu wengine
Kuvaa mavazi yenye staha katika muktadha mbalimbali
Kutenda matendo yenye kuheshimu jinsi
Kutenda matendo yenye kuonesha upendo kwa watu wenye mahitaji maalumu
Listening to this topic