Maarifa ya Jamii Darasa la V Syllabus

    1. Kutumia stadi za ujasiriamali katika shughuli za kila siku
      1. Kuchambua umuhimu wa shughuli za kiuchumi katika jamii husika
      2. Kufafanua shughuli za kiuchumi katika jamii inayomzunguka mfano sehemu zenye rutuba na mvua
    2. Kutambua shughuli za uzalishaji mali katika jamii
      1. Kuchambua wajibu wa kila mwana familia katika shughuli za uzalishaji mali
      2. Kuchambua shughuli za uzalishaji mali katika familia
    3. Kuthamini na kulinda rasilimali za nchi
      1. Kuainisha rasilimali zinazo milikiwa na shule
      2. Kuelezea rasilimali zinazo milikiwa na familia
    1. Kutumia elimu ya hali ya hewa katika shughuli za kila siku
      1. Kuchambua majira ya mwaka
      2. Kupima vipengele vya hali ya hewa
      3. Kuainisha vipengele vya hali ya hewa
    2. Kutunza kumbukumbu za matukio ya kihistoria
      1. Kuchambua njia za kutunza taarifa za matukio ya kihistoria
      2. Kupanga matukio kwa kufuata mtiririko wa wakati (mf. usasa kwenda ukale)
      3. Kuwasilisha taarifa za matukio ya kihistoria
    3. Kutunza mazingira ya jamii inayo mzunguka
      1. Kutathmini vitendo vya kukabiliana na uharibifu wa mazingira
      2. Kuchambua majanga yatokanayo na uharibifu wa mazingira
    1. Kutumia elimu ya hali ya hewa katika shughuli za kila siku
      1. Kupima upepo
      2. Kufafanua dhana ya upepo
    2. Kutunza kumbukumbu za matukio ya kihistoria
      1. Kufafanua utunzaji wa taarifa za matukio ya kihistoria
      2. Kuchambua matukio ya kihistoria yaliyowahi kutokea Tanzania
    3. Kuchambua mazingira ya jamii inayomzun guka
      1. Kufafanua njia za utunzaji wa vyanzo vya maji.
      2. Kuchambua uharibifu wa mazingira
    1. Kutumia Elimu ya hali ya hewa katika shughuli za kila siku
      1. Kubainisha njia za kujikinga na hali ya hewa ya baridi kali na joto kali katika mazingira ya shule
      2. Kufafanua dhana ya jotoridi
    2. Kutunza mazingira ya jamii inayomzunguka
      1. Kufafanua namna ya kupanda na kutunza maua, miti na nyasi kwenye viunga vya shule
      2. Kuelezea hatua za kupanda nyasi, miti na maua katika mazingira
      3. Kuchambua faida za mazingira safi
      4. Kusafisha mazingira ya eneo la shule
      5. Kufanya usafi wa darasa
      6. Kufafanua vitu vinavyounda mazingira ya shule