Sayansi

Kutunza Afya na Mazingira
♿ Accessibility: | | | |

Kutunza Afya na Mazingira

Kutambua mifumo mbalimbali ya mwili wa binadamu
Kubaini mitindo inayofaa ya maisha inayoweza kuepusha kasoro katika mfumo wa utoaji taka mwilini
Kuchora mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
Kueleza njia za uzazi wa mpango
Kuainisha sehemu za mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
Kubaini mitindo ya maisha inayoweza kusababisha kasoro katika mfumo wa utoaji taka mwilini
Kueleza dhana ya balehe kwa msichana na mvulana
Kueleza dhana ya mfumo wa utoaji taka mwilini
Kutofautisha kasoro zinazoweza kutokea katika mfumo wa uzazi wa kike na kiume
Kubaini mfumo wa Uzazi
Kubaini kasoro zinazoweza kutokea katika mfumo wa damu
Kufafanua mfumo wa damu
Kufuata kanuni za afya ili kujenga afya bora
Kuchanganua makundi mbalimbali ya watu wanaohitaji huduma ya afya
Kueleza njia za kujikinga na maambukizi ya VVU
Kueleza njia za maambukizi ya magonjwa ya mlipuko
Kubaini magonjwa ya kurithi
Kueleza dhana ya magonjwa ya mlipuko (chanzo dalili na athari)
Kupanga vyakula vinavyounda mlo kamili
Kueleza athari za VVU na UKIMWI katika familia, jamii na Taifa
Kueleza dhana ya mlo kamili
Kueleza tabia zinazosaidia kutunza afya
Kubaini kanuni za afya
Kueleza uhusiano uliopo kati ya magonjwa ya ngono na virusi vya UKIMWI
Kueleza umuhimu wa usafi na usalama wa lishe kwa mtu anayeishi wa VVU na UKIMWI
Kufuata kanuni za usafi ili kuwa na afya na mazingira bora
Kufanya vitendo vya kutoa huduma ya kwanza kwa aliyevunjika mfupa, aliyeumwa na nyoka, aliyezama kwenye maji na anayetapika au kuharisha
Kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumwa na wadudu hatari au wenye sumu
Kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua na moto au kimiminika cha moto
Kuainisha vyanzo vya uchafu na taka
Kuangamiza wadudu wanaoeneza magonjwa
Kueleza dhana ya huduma ya kwanza
Kudumisha usafi wa mwili na unadhifu wa mavazi
Kueleza umuhimu wa kudumisha usafi na unadhifu wa mavazi
Kutunza vifaa vya kufanyia usafi wa mwili na mavazi
Kueleza umuhimu wa kufanya usafi wa mwili na mavazi
Listening to this topic