Fasihi ya Kiswahili (New) Form 3 Syllabus
-
-
Kuonesha uelewa wa kazi za fasihi ya Kiswahili ya kitaifa
-
Kufafanua dhana ya fasihi ya Kiswahili ya kitaifa
-
Kuchambua sifa za fasihi ya Kiswahili ya kitaifa kwenye ‘Wimbo wa Taifa’, wimbo wa ‘Tanzania Tanzania’, wimbo wa ‘Tazama Ramani’ na wimbo wa ‘Mashujaa wa Zanzibar’
-
Kujadili sifa za fasihi ya kitaifa kwenye fasihi ya watoto
-
Kubainisha sifa za fasihi ya kitaifa kwenye ngano
-
Kutunga shairi lenye sifa za fasihi ya kitaifa
-
-
Kuhakiki kazi mbalimbali za fasihi ya Kiswahili
-
Kuhakiki fani na maudhui katika kazi za fasihi ya watoto
-
Kuhakiki fani na maudhui ya kifasihi katika filamu za Kiswahili
-
Kuhakiki fani na maudhui katika vichekesho
-
-
-
-
Kujenga ujumi na falsafa ya Kiafrika katika kazi za fasihi
-
Kufafanua dhana na vipengele vya ujumi na falsafa ya Kiafrika katika fasihi
-
Kubainisha ujumi na falsafa ya Kiafrika katika methali za Kiswahili
-
Kuhakiki tamthiliya zenye ujumi na falsafa ya Kiafrika
-
-
Kutumia kazi za fasihi katika kujenga hoja zenye mantiki
-
Kuchanganua mambo ya kuzingatia wakati wa kujenga hoja kimantiki kutokana na kazi za fasihi
-
Kuandika insha za kisanaa zenye hoja za kimantiki
-
Kutumia fasihi kuwasilisha hoja kimantiki katika midahalo
-
-
-
-
Kutathmini mbinu za kisanaa za utunzi wa kazi za kifasihi
-
Kufafanua mbinu za kisanaa katika utungaji wa kazi za kifasihi
-
Kulinganisha matumizi ya mbinu za kisanaa katika kazi mbalimbali za kifasihi
-
Kujadili mbinu za kisanaa katika ngano
-
-
Kutunga kazi sahili za kifasihi
-
Kufafanua kanuni za utunzi wa mashairi
-
Kutunga mashairi sahili
-
Kufafanua kanuni za utunzi wa kazi za fasihi ya watoto
-
Kutunga kazi sahili za fasihi ya watoto
-
-