Historia ya Tanzania na Maadili (New) Form 3 Syllabus
-
-
Kumudu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
-
Kufafanua chimbuko la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
-
Kueleza muundo na misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
-
Kutathimini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika kujenga umoja na maadili ya Kitaifa
-
-
-
-
Kuchambua chimbuko la Azimio la Arusha na matokeo yake kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kimaadili
-
Kujadili chimbuko la Azimio la Arusha
-
Kufafanua misingi na mchango wa Azimio la Arusha katika ujenzi wa Taifa kiuchumi, kisiasa, kijamii na kimaadili
-
Kutathmini changamoto za Azimio la Arusha kiuchumi, kisiasa, kijamii na kimaadili
-
-
Kueleza nafasi ya Tanzania katika kujenga uhusiano wa kikanda
-
Kufafanua dhana ya uhusiano wa kikanda na ujenzi wa Taifa
-
Kueleza mchango wa Tanzania katika kukuza uhusiano wa kikanda na kujenga utaifa (EAC & SADC)
-
Kubaini changamoto za uhusiano wa kikanda katika ujenzi wa Taifa
-
-
-
-
Kumudu misingi ya utafiti wa kihistoria
-
Kueleza dhana, misingi na maadili ya utafiti wa kihistoria
-
Kuchambua hatua na mchakato wa utafiti wa kihistoria
-
-
Kutumia misingi ya utafiti wa kihistoria kufanya kazi mradi
-
Kubuni na kufanya kazimradi kuhusu historia ya Tanzania na maadili
-
-