Kiswahili Darasa la III Syllabus

    1. Ishara
      1. Kubainisha mawasiliano ya ishara.
      2. Kujadili ishara za mawasiliano.
      3. Kutumia ishara katika mawasiliano.
    2. Mazungumzo
      1. Kufafanua sifa za mazungumzo
      2. Kueleza aina za mazungumzo
      3. Kuwasiliana kwa kuzungumza
    3. Maandishi
      1. Kuainisha mawasiliano ya maandishi
      2. Kueleza aina za mawasiliano ya maandishi
      3. Kuwasiliana kwa maandishi
    1. Kusoma kwa Mazoezi (habari fupi isiyozidi maneno 300)
      1. Kuainisha alama za uandishi
      2. Kueleza matumizi ya alama za uandishi
      3. Kusoma kwa kasi kwa kuzingatia alama za uandishi
    2. Kusoma kwa ufahamu (habari fupi isiyozidi maneno 300 dawa za kulevya)
      1. Kubainisha maneno teule ya habari
      2. Kujibu maswali kutokana na habari
      3. Kufupisha habari
    3. Kusoma nambari kwa maneno (201-300)
      1. Kubainisha nambari kwa maneno
      2. Kulinganisha nambari na maneno
      3. Kusoma maneno ya nambari
    4. Matumizi ya maktaba
      1. Kuainisha sehemu za maktaba
      2. Kubainisha alama zinazotumika maktaba
      3. Kutumia vifaa vinavyopatika na maktaba katika sehemu ya kusomea watoto
    1. Hati (maneno yasiyozidi mia moja 100)
      1. Kuchambua habari fupi
      2. Kuelezea matumizi ya alama za uandishi
      3. Kuandika hati zinazosomek a kwa urahisi
    2. Imla (habari fupi isiyozidi maneno hamsini 50)
      1. Kuainisha maneno teule
      2. Kubainisha hatua za uandishi wa imla
      3. Kuandika imla fupi kwa kuzingatia alama za uandishi
    3. Utungaji wa insha fupi za mtiririko wa picha
      1. Kuainisha aina za insha
      2. Kubainisha hatua za utungaji
      3. Kuandika insha kwa mtiririko wa picha
    4. Kuandika nambari kwa maneno (1-300)
      1. Kubainisha maneno ya nambari teule
      2. Kujadili maneno ya nambari teule
      3. Kuandika nambari na maneno ya nambari
    1. Nyakati za msingi (wakati uliopo, uliopita na ujao)
      1. Kubainisha nyakati