Historia ya Tanzania na Maadili (New) Form 4 Syllabus

    1. Kuchambua chimbuko la uliberali na utandawazi
      1. Kufafanua dhana ya uliberali na utandawazi
      2. Kubaini vichocheo vilivyo- sababisha Tanzania kuingia katika mfumo wa uliberali na utandawazi
      3. Kueleza athari za uliberali na utandawazi katika mifumo ya uchumi, utamaduni, siasa na maadili
      4. Kubaini jitihada zinazohukuliwa na Tanzania kudhibiti athari mbaya za uliberali na utandawazi
    2. Kuishi maadili mema ya Kitanzania wakati wa uliberali na utandawazi
      1. Kujadili matendo ya uadilifu katika muktadha wa uliberali na utandawazi
      2. Kujadili mikakati mbalimbali ya kuhamasisha na kuelimisha jamii kuhusu maadili ya Kitanzania
    1. Kueleza muundo na kazi za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
      1. Kuchambua muundo na kazi za mhimili tendaji (Executive) ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
      2. Kuchambua muundo na kazi za Bunge la Jamhuri na za Baraza la Wawakilishi Zanzibar
      3. Kuchambua muundo na kazi za Mahakama katika pande zote za Muungano
    2. Kubaini muundo na kazi za Serikali za Mitaa
      1. Kueleza dhana na chimbuko la serikali za mitaa
      2. Kuchambua muundo na kazi za serikali za mitaa katika ngazi mbalimbali za Jamhuri ya Muungano
    1. Kutumia misingi ya utafiti wa kihistoria kufanya kazimradi
      1. Kukamilisha kazimradi iliyoanza Kidato cha III na kuiwasilisha kwa tathmini