Kiswahili (New) Form 4 Syllabus

    1. Kuwasiliana kwa ufasaha kwa njia ya mazungumzo
      1. Kuigiza usaili kwa kuzungumza na kuandika
    2. Kuwasiliana kwa njia ya maandishi katika miktadha mbalimbali
      1. Kuandika wasifukazi na tawasifu
    1. Kuhakiki kazi za fasihi ya Kiswahili
      1. Kujadili dhana ya mashairi andishi
      2. Kuhakiki fani na maudhui katika mashairi andishi
      3. Kuhakiki fani na maudhui katika riwaya
      4. Kuhusianisha kazi za fasihi na maisha halisi
    2. Kubuni kazi za fasihi ya Kiswahili
      1. Kujadili kanuni za utunzi wa hadithi fupi simulizi na andishi
      2. Kutunga hadithi fupi simulizi na andishi
      3. Kutamba hadithi
    1. Kufanya tafsiri sahili katika lugha ya Kiswahili
      1. Kutafsiri matini ndefu sahili
      2. Kutathmini matini zilizotafsiriwa
    2. Kuhariri matini mbalimbali za Kiswahili
      1. Kuhariri matini ndefu za Kiswahili
      2. Kutathmini matini zilizohaririwa
    3. Kufanya ukalimani sahili kwa lugha ya Kiswahili
      1. Kujadili dhana na misingi ya ukalimani
      2. Kueleza stadi muhimu katika ukalimani
      3. Kukalimani mazungumzo mafupi na sahili katika miktadha mbalimbali