Kiswahili Form 4 Syllabus
-
-
Uundaji wa Maneno
-
Elezea njia mbalimbali za uundaji maneno
-
Elezea mazingira yanayoelezea kuhitaji maneno mapya
-
Unda maneno katika miktadha mbalimbali
-
-
-
-
Ukuaji na ueneaji wa Kiswahili katika enzi ya Waingereza
-
Elezea mambo waliyochangia waingereza katika ukuaji wa Kiswahili nchini Tanzania
-
-
Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili baada ya Uhuru
-
Elezea shughuli mbalimbali zinazowezesha kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini
-
Elezea dhima ya kila asasi inayokuza Kiswahili
-
-
-
-
Uhakiki wa Ushairi, Tamthiliya na Riwaya
-
Fafanua vipengele vya uhakiki
-
Baini taarifa muhimu za mwandishi wa kila kitabu
-
-
-
-
Utungaji wa Mashairi
-
Fafanua mambo ya kuzingatia katika utungaji wa mashairi
-
-
-
-
Uandishi wa Insha za Kiada
-
Elezea muundo wa insha za kaida
-
-
Uandishi wa Hotuba
-
Elezea muundo wa hotuba
-
-
Uandishi wa Risala
-
Elezea muundo wa risala
-
-
Uandishi wa kumbukumbu za Mikutano
-
Elezea mambo ya kuzingatia katika uchukuaji wa kumbukumbu za mikutano
-
-
-
-
Ufahamu wa Kusikiliza
-
Jibu maswali ya habari uliyosikiliza
-
Fupisha habari
-
-
Ufahamu wa Kusoma
-
Jibu maswali kutokana na habari ndefu uliyosoma
-
Fupisha habari ndefu uliyosoma
-
-