Fasihi ya Kiswahili (New) Form 4 Syllabus
-
-
Kuhakiki kazi mbalimbali za fasihi ya Kiswahili
-
Kuhakiki fani na maudhui katika nyimbo za zamani (kabla ya mwaka 1990) na za kisasa (baada ya mwaka 1990)
-
Kuhakiki fani na maudhui katika nyimbo za taarabu za zamani (kabla ya mwaka 1990) na za kisasa (baada ya mwaka 1990)
-
Kuhakiki fani na maudhui ya kifasihi katika filamu zilizotafsiriwa
-
-
-
-
Kujenga ujumi na falsafa ya Kiafrika katika kazi za fasihi
-
Kuhakiki riwaya zenye ujumi na falsafa ya Kiafrika
-
Kuhakiki ngano zenye ujumi na falsafa ya Kiafrika
-
Kuhakiki nyimbo za Kiswahili zenye ujumi na falsafa ya Kiafrika
-
Kujadili nafasi ya ujumi na falsafa ya Kiafrika katika jamii
-
-
Kutumia kazi za fasihi katika kujenga hoja zenye mantiki
-
Kutumia riwaya kuandika hotuba zenye hoja za kimantiki
-
Kutumia maigizo kujenga hoja kimantiki katika usaili
-
Kutumia ngonjera kujenga hoja kimantiki katika mawasiliano ya kitaaluma
-
-
-
-
Kutunga kazi sahili za kifasihi
-
Kuchambua kanuni za utunzi wa tamthiliya
-
Kutunga tamthiliya fupi
-
Kuchambua kanuni za utunzi wa riwaya
-
Kutunga riwaya sahili
-
Kuchambua kanuni za utunzi wa vichekesho
-
Kutunga vichekesho
-
-
Kutambua fursa zinazotokana na fasihi ya Kiswahili
-
Kubaini fursa za utunzi wa kazi za kifasihi
-
Kuchambua fursa za kutafsiri na kuhariri kazi za kifasihi
-
Kuchambua fursa za kuandaa filamu zinazotokana na kazi za kifasihi
-
Kuchambua fursa za uandishi wa vitabu vya fasihi ya watoto
-
Kuchambua fursa za uchapishaji wa kazi za fasihi
-
Kuhusianisha fursa za kazi za kifasihi na TEHAMA
-
-