Kiswahili (New) Form 2 Syllabus

    1. Kukuza uelewa wa sarufi ya Kiswahili
      1. Kuandika habari kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi (kwa kuzingatia ngeli za nomino na viambishi vya upatanisho)
      2. Kuzungumza kwa kutumia miundo changamani ya sentensi katika miktadha mbalimbali (sentensi ambatani na changamani)
      3. Kuandika matini fupi kwa kutumia miundo changamani ya sentensi
    1. Kusikiliza na kuelewa mazungumzo
      1. Kusikiliza habari changamani kwa umakini, udadisi na kuuliza maswali
      2. Kusikiliza mijadala/ habari changamani na kuwasilisha mawazo makuu aliyoyapata kwa kuzingatia uwazi na uwekevu
    2. Kusoma matini kwa ufasaha na ufahamu
      1. Kusoma matini ndefu changamani kwa kina na utunduizi
      2. Kusoma matini ndefu changamani, kuandika muhtasari wa hoja kuu zilizomo na kutoa maoni juu ya hoja hizo
    1. Kuwasiliana kwa ufasaha kwa njia ya mazungumzo
      1. Kuzungumza kwa kutumia mitindo mbalimbali ya lugha ya mazungumzo na kwa kuzingatia miktadha, umri, jinsia na uhusiano
      2. Kutumia kwa usahihi ishara zinazoambatana na mazungumzo katika kuwasiliana
    2. Kuwasiliana kwa njia ya maandishi katika miktadha mbalimbali
      1. Kuandika insha za wasifu na hoja (za kisanaa na zisizo za kisanaa)
      2. Kusikiliza hoja na kuandika kumbukumbu