Sayansi na Teknolojia Darasa la IV Syllabus

    1. Uchunguzi wa Vitu Vilivyopo katika Mazingira
      1. Vitendo Hatarishi katika Usalama wa Mazingira
      2. Usafi na Usalama wa Hewa
      3. Majaribio ya Umuhimu wa Mahitaji ya Viumbe Hai
    2. Nishati
      1. Nishati ya Umeme
      2. Vitu Vinavyoruhusu Mwanga Kupenya
      3. Vivuli
    3. Nadharia za Kisayansi na Kiteknolojia
      1. Jaribio la Hali Tatu za Maji
      2. Kizingiti cha Mgando wa Maji
      3. Kizingiti cha Mchemsho wa Maji
    1. Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      1. Mawasiliano
      2. Njia za Mawasiliano
      3. Matumizi ya Redio na Runinga kwa Vitendo
      4. Kutunza Vifaa vya TEHAMA
    2. Stadi za Kisayansi
      1. Matumizi ya Friji na Aina za Majiko
    3. Majaribio ya Kisayansi
      1. Dhana ya Jaribio la Kisayansi
      2. Hatua za Kufanya Jaribio la Kisayansi
    1. Kanuni za Afya na Mazingira Bora
      1. Vyanzo vya Uchafu na Taka
      2. Usafi wa Mazingira
      3. Huduma ya Kwanza
    2. Kujenga Afya Bora
      1. Magonjwa Yanayoambukizwa na Yasiyoambukizwa
      2. Njia za Kudhibiti na Kujikinga na Magonjwa ya Mlipuko
      3. Dhana ya Kinga ya Mwili
      4. VVU na UKIMWI
    3. Mifumo Mbalimbali ya Mwili wa Binadamu
      1. Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula
      2. Kasoro katika Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula
      3. Ulaji Sahihi wa Chakula