Uraia Darasa la IV Syllabus

    1. Rasilimali na maslahi ya Nchi
      1. Rushwa na Athari zake katika rasilimali za Nchi
      2. Shughuli za Kujitolea
      3. Kuthamini Rasilimali za Jamii
    2. Majukumu ya Nyumbani na Shuleni
      1. Wajibu kaika Familia
      2. Uhusiano Bora katika Familia
      3. Mamlaka za Viongozi wa Shule
    3. Uongozi
      1. Namna ya kutekeleza Majukumu ya Jamii
    4. Kanuni ya Sheria za Uwajibikaji
      1. Kutii sheria ya Makosa ya Mitandao ya Mawasiliano
      2. Matumizi Sahihi ya Mitandao ya Mawasiliano
    5. Sheria na Kanuni katika Kutekeleza Majukumu
      1. Kanuni katika Mazingira
      2. Vitendo vya Ukiukwaji wa Sheria katika Mazingira
      3. Utekelezaji wa Kanuni za Shule
    6. Nidhamu
      1. Udadisi
      2. Malengo katika Kutenda Jambo
      3. Kutatua Matatizo (Mbinu)
      4. Ushauri Kutoka kwa Watu Wengine
    7. Ushirikiano
      1. Ushirikiano Shuleni
      2. Athari za Kutokua na Ushirikiano
      3. Mawazo Mapya ya Watu Wengine
      4. Ubunifu
      5. Fikra Chanya
    1. Uvumilivu
      1. Fikra Chanya katika Kutatua Changamoto Mbalimbali
      2. Matatizo Mbalimbali na Nama ya Kuyavumilia
      3. Mifumo ya Maisha
      4. Namna ya Kutatua Changamoto Mbalimbali katika Jamii
      5. Itikadi na Imani
    2. Malengo na Mitazamo Chanya
      1. Mtazamo Chanya katika Majukumu ya Kila Siku
      2. Ufundishaji katika Makundi
      3. Fikra za Kujitegemea
    3. Mtazamo Chanya
      1. Njia ya Kutekeleza Malengo Mbalimbali
      2. Umuhimu wa Kuweka Malengo
    4. Kuchanganua Mambo Kiyakinifu
      1. Taarifa katika Vyanzo Tofauti
      2. Makosa Mbalimbali
    5. Uchanganuzi wa Mambo Kiyakinifu
      1. Ushirikiano, Uhamasishaji na Kujifunza Uyakinifu
    1. Uaminifu
      1. Uaminifu katika Jamii zinazotuzunguka
      2. Kuheshimu Imani na Itikadi za Watu Wengine
    2. Uaminifu katika Jamii
      1. Matendo ya Usaliti
      2. Uwazi na Ukweli
    3. Majukumu
      1. Njia za Kutekeleza Majukumu
      2. Uchaguzi wa Viongozi Bora
    4. Ukweli na Uwazi katika Jamii
      1. Uovu katika Jamii
      2. Dhana ya Unafiki
    5. Haki
      1. Dhana ya Haki na Wajibu
      2. Vyombo Vinavyosimamia Haki
    6. Haki na Usawa katika Jamii
      1. Mihimili Mitatu ya Taifa ya Kusimamia Haki