Maarifa ya Jamii Darasa la VII Syllabus

    1. Utunzaji wa Mazingira
      1. Majanga ya Asili
      2. Vyanzo vya Majanga ya Asili
      3. Hatua za Kuchukua
      4. Vyanzo vya Janga la Moto
      5. Kanuni za Kuzima Moto
    2. Matukio ya Kihistoria
      1. Maendeleo ya Zana na Uzalishaji mali za Zama za Mawe, Zama za Chuma na maendeleo ya Sayansi na Teknolojia
      2. Mabadiliko katika zama za Mawe na Zama za Chuma kwenye nyanja za Kiuchumi, Kijamii, Kisiasa na Kiutamaduni
      3. Athari za Kiteknolojia katika jamii wakati wa Zama za Mawe na Zama za Chuma
    3. Hali ya Hewa
      1. Kanda na Sifa za Tabianchi ya Tanzania
      2. Mambo yanayoathiri Tabia ya Nchi
      3. Mabadiliko ya Tabia ya Nchi ya Tanzania na Athari zake
    1. Utamaduni wa Mtanzania
      1. Dhima za Mila na Desturi za Mtanzania kabla ya Ukoloni hadi sasa
      2. Mambo yanayojenga Ushirikiano baina ya Watu katika Jamii
      3. Njia ya Kudumisha Ushirikiano katika Jamii
      4. Vitu Vinavyoweza Kuvunja Ushirikiano katika Jamii
    2. Kujenga Uhusiano Mwema katika Jamii
      1. Dhana ya Uhusiano wa Jamii
      2. Kuchambua Ukoo wetu
      3. Jamii za Kale za Kijamaa
      4. Jamii za Kale za Ukabila
    3. Mashuja Wetu
      1. Harakati za mashujaa wa Afrika kudai na Athari zake
      2. Njia zilizotumika kudai Uhuru
    4. Mashujaa Wetu
      1. Kuainisha Mashujaa
      2. Uvamizi wa Taifa letu Uliopo kwa Sasa
      3. Mchango wa Mashujaa Wetu
    5. Uhusiano Mwema kwa Maendeleo ya Jamii
      1. Maendeleo ya Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii Tanzania na athari zake kuanzia 1961 hadi sasa
      2. Njia za Usafiri zilizopo sasa kati ya Tanzania na Nchi nyingine na zinazodumisha uhusiano mwema katika Maendeleo ya uchumi wa Tanzania
    1. Matumizi ya Ramani katika Mazingira
      1. Dhana ya Latitude na Longitude
      2. Matumizi ya mistari ya Longitude kukokotoa muda
    2. Mfumo wa Jua
      1. Mizunguko ya Jua na Athari zake katika shughuli za kibinadamu
      2. Shughuli za Kibinadamu na Athari zake katika tabaka la Ozoni
    1. Kutumia Ramani katika Mazingira
      1. Kuchora Ramani
      2. Pande Kuu Nne za Dunia
      3. Uelekeo wa Vitu katika Pande Kuu Nne za Dunia
    2. Kuchambua Mfumo wa Jua
      1. Mfumo wa Jua
      2. Mwanga wa Asili katika Mazingira