Kiswahili Form 2 Syllabus
-
-
Matamshi bora
-
Silabi tatanishi km pa/ba, sa/sha, la/ra, cha/sha, za/sa n.k.
-
Sauti tatanishi k.m. b/mb, d/nd, g/ng, n.k.
-
Vitate k.m. kua/kuwa
-
Vitanza ndimi
-
-
Maamkizi na mazungumzo
-
Maamkizi na mazungumzo katika miktadha: Hotelini
-
Maamkizi na mazungumzo katika miktadha: Hospitalini
-
Maamkizi na mazungumzo katika miktadha: Posta
-
Maamkizi na mazungumzo katika miktadha: Kituo cha polisi
-
Mahojiano k.m. daktari na mgonjwa
-
Majadiliano kati ya: Mwalimu na mzazi au mwalimu na mwanafunzi
-
Mjadala k.m. utangamano shuleni.
-
Hotuba
-
-
Ufahamu wa kusikiliza
-
Taarifa za ufahamu wa kusikiliza
-
Hadithi: Visasili, mighani, hekaya
-
Semi: Methali, misemo
-
Semi: Vitendawili, mafumbo na chemsha bongo
-
Semi: Tanakali za sauti
-
Ushairi: Nyimbo
-
Maigizo: Kutegemea shabaha na muktadha k.m. mkutano wa harambee au siasa
-
-
-
-
Misingi ya maneno
-
Mofimo: Maana, aina huru na tegemezi
-
Mofimo: Aina huru na tegemezi
-
Mofimo: Aina tegemezi
-
Viambishi: Maana
-
Viambishi: Aina awali
-
Viambishi: Aina tamati
-
-
Aina za maneno na migawanyo yake
-
Nomino: Jumla/kawaida
-
Nomino: Pekee
-
Nomino: Dhahania
-
Nomino: Kitenzi jina
-
Nomino: Jamii
-
Nomino: Nomino za wingi
-
Vivumishi: Sifa
-
Vivumishi: Vionyeshi
-
Vivumishi: Vimilikishi
-
Vivumishi: Viulizi
-
Vivumishi: Idadi
-
Vivumishi: Pekee
-
Vivumishi: Majina
-
Vivumishi: A-unganifu
-
Vivumishi: Virejeshi
-
Vivumishi: Visisitizi
-
Vitenzi: Vitenzi halisi
-
Vitenzi: Vitenzi vikuu
-
Vitenzi: Viasaidizi
-
Vitenzi: Vishirikishi vipungufu
-
Vitenzi: Vishirikishi vikamilifu
-
Vitenzi: Vitenzi sambamba
-
Viwakilishi: Nafsi-huru
-
Viwakilishi: Nafsi-tegemezi/viambata
-
Viwakilishi: Ngeli
-
Viwakilishi: Sifa
-
Viwakilishi: Idadi
-
Viwakilishi: Viulizi
-
Viwakilishi: Vimilikishi
-
Viwakilishi: -A-unganifu
-
Viwakilishi: Pekee
-
Viwakilishi: Visisitizi
-
Vielezi: Namna/jinsi
-
Vielezi: Wakati
-
Vielezi: Idadi/kiasi
-
Vielezi: Mahali
-
Viunganishi
-
Vihusishi
-
Vihisishi
-
-
Vinyume
-
Vinyume vya vitenzi
-
-
Nyakati na hali
-
Hali za: Nge
-
Hali za: Ngeli
-
Hali za: Ngali
-
Hali za: Po
-
-
Sentensi ya Kiswahili
-
Sentensi ambatano: Kirai
-
Sentensi ambatano: Kikundi Nomino (KN)
-
Sentensi ambatano: Kikundi Tenzi (KT)
-
Upambanuzi wa sentensi ambatano kwa njia ya mstari
-
-
Mnyambuliko wa Vitenzi
-
Kauli za vitenzi: Kutendwa
-
Kauli za vitenzi: Kutendewa
-
Kauli za vitenzi: Kutendeka
-
Kauli za vitenzi: Kutendana
-
Kauli za vitenzi: Kutendeana
-
Kauli za vitenzi: Kutendeshwa
-
Kauli za vitenzi: Kutendeshana
-
Kauli za vitenzi: Kutendeshea
-
-
Uakifishaji
-
Uakifishaji wa maandishi ya aina mbalimbali k.m. sentensi, aya, vifungu n.k
-
-
Usemi halisi na usemi wa taarifa
-
Usemi halisi
-
Usemi wa taarifa
-
-
Uundaji wa maneno
-
Uundaji wa: Nomino kutokana na kitenzi
-
Uundaji wa: Nomino kutokana na nomino
-
-
Ukubwa na udogo
-
Nomino katika hali ya: Wastani
-
Nomino katika hali ya: Ukubwa
-
Nomino katika hali ya: Udogo
-
-
Ukanushaji
-
Kukanusha kutegemea nafsi na: Wakati
-
Kukanusha kutegemea nafsi na: Hali za nge
-
Kukanusha kutegemea nafsi na: Hali za Ngeli
-
Kukanusha kutegemea nafsi na: Hali za ngali
-
Kukanusha kutegemea nafsi na: Hali za po
-
-
Umoja na wingi
-
Ngeli za nomino k.m. A-WA
-
Ngeli za nomino k.m. U-I
-
Ngeli za nomino k.m. LI-YA n.k
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Awali vya vitenzi
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya sifa
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -enye
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -enyewe
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -ingine
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -ote
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -o-ote
-
Upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viambishi: Vya vivumishi vya pekee -ingineo
-
-
-
-
Kusoma kwa sauti
-
Sauti na maneno tatanishi k.m. p/b, s/sh, l/r, ch/sh, s/z (papa/baba, tata/dada susu/zuzu)
-
Vitate k.m. kua/kuwa, pua/bua, vua/fua
-
Maneno tatanishi yenye sauti mwambatano k.m. mbali/bali, buni/mbuni
-
Sentensi zenye maana tatanishi
-
Vitanza ndimi
-
Vifungu na makala: Zingatia ujumbe, sarufi, msamiati na tamathali za semi
-
Riwaya
-
Ushairi: Mashairi ya arudhi
-
Ushairi: Mashairi huru
-
Tamthilia zingatia: Ujumbe
-
Tamthilia zingatia: Msamiati
-
Tamthilia zingatia: Miundo ya sentensi
-
Tamthilia zingatia: Mbinu za kisani
-
Tamthilia zingatia: Mafunzo na maadili yanayojitokeza
-
Kusoma magazeti, majarida, vitabu, vya ziada, na makala yanayozingatia maswala ibuka kama vile: Afya, ukimwi, mazingira, maadili, jinsi, ufisadi, teknolojia/kompyuta
-
matumizi ya maktaba
-
Matumizi ya kamusi za aina mbalimbali k.m. kamusi ya kiswahili, kiswahili-kingereza, teknolojia n.k
-
-
-
-
Uandishi wa kawaida
-
Majibu ya ufahamu wa maandishi
-
Muhtasari
-
Imla
-
Barua: Rasmi
-
Barua: Risala
-
Barua: Simu
-
Hotuba
-
Ratiba k.m. siku ya wazazi shuleni
-
Matangazo
-
Tahadhari: Ilani
-
Tahadhari: Onyo
-
Maagizo/maelekezo
-
Shajara
-
Risipe
-
Orodha ya mambo
-
Taarifa
-
Mahojiano
-
Dayolojia
-
-
Uandishi wa Insha
-
Maelezo
-
Mazungumzo
-
Mdokezo
-
Methali
-
-
Utungaji wa kisanii
-
Hadithi fupi
-
Mashairi
-
Michezo ya kuigiza
-
-