Uraia na Maadili
Kuwa mwadilifu
Kuwa mwadilifu
Kusimamia haki
Kufafanua mihimili mitatu ya serikali
Kutofautisha mamlaka na majukumu ya serikali ya Kijiji/Mtaa, Kata, Wilaya, Mkoa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kushirikiana na vikundi vya kijamii kutetea haki za binadamu
Kuelimisha watu wengine kuepuka mila na desturi zinazokiuka haki za binadamu
Kuainisha mila na desturi zinazokiuka haki za binadamu
Kutimiza majukumu yake kwa uwazi na ukweli
Kufichua maovu yanayo husiana na ubadhirifu na ufisadi katika utekelezaji wa majukumu
Kuonesha tabia ya kupiga vita unafiki katika maisha
Kuthibitisha kauli ya ukweli kwa mifano dhahiri katika maisha ya kila siku
Kuaminika katika jamii
Kuonesha tabia ya kujiepusha na matendo yenye kuharibu mahusiano mazuri baina ya watu
Kutathmini utekelezaji wa wajibu wake
Listening to this topic