Uraia na Maadili

Kuheshimu jamii
♿ Accessibility: | | | |

Kuheshimu jamii

Kuipenda Tanzania kwa kuenzi tunu mbalimbali za nchi na asili yake
Kufafanua utekelezaji wa demokrasia nchini
Kueleza dhamira ya siku kuu za kitaifa.
ubainisha muundo wa uongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kueleza umuhimu wa tunu za Taifa
Kufafanua njia mbalimbali za kuitangaza nchi yake ya Tanzania
Kujipenda na kuwapenda watu wengine
Kuonesha matendo mema na ya heshima
Kuthamini mchango wa watu wengine katika ustawi wa jamii
Kuonesha tabia ya kupenda kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji mbalimbali
Kuipenda na kujivunia shule yake
Kutunga nyimbo/ ngonjera/ mashairi ya kuisifu shule yake
Kueleza ujumbe uliomo katika kauli mbiu na wimbo wa shule yake
Listening to this topic