Historia ya Tanzania na Maadili (New) Form 1 Syllabus
-
-
Kuelezea chimbuko la jamii za Kitanzania na maadili yake
-
Kueleza asili ya jamii za Kitanzania (Wabantu, Wanilo, Wakushito, Wakichembe)
-
Kubaini shughuli mbalimbali za makundi ya asili ya jamii za Kitanzania
-
Kueleza maadili ya jamii za asili ya Kitanzania
-
-
Kumudu maarifa na ujuzi wa maadili na urithi wa jamii za Kitanzania
-
Kuchambua maadili na urithi wa jamii za Kitanzania
-
Kueleza matendo ya msingi yanayokuza na kulinda maadili na urithi wa jamii za Kitanzania
-
-
Kutumia maarifa na ujuzi wa historia na urithi kubuni fursa mbalimbali zilizopo katika jamii za Kitanzania
-
Kubaini fursa mbalimbali zilizopo kwenye urithi wa jamii za Kitanzania
-
Kueleza namna fursa zilizopo kwenye urithi wa jamii za Kitanzania zinavyoweza kutumika kukuza uchumi binafsi na jamii
-
Kueleza njia mbalimbali za kutunza urithi wa jamii za Kitanzania
-
-
Kubaini fursa mbalimbali za kujenga ushirikiano na kukuza uchumi wa kitaifa
-
Kuainisha shughuli mbalimbali za kujenga ushirikiano na kukuza uchumi wa Taifa
-
Kufafanua namna shughuli mbalimbali zinavyochangia kujenga ushirikiano na kukuza uchumi wa Taifa
-
-
-
-
Kuchambua mifumo ya kijamii (elimu, afya, utamaduni) iliyokuza na kuendeleza maadili ya jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
Kubaini mifumo ya kijamii ya Tanzania kabla ya ukoloni
-
Kueleza mifumo ya kijamii ya Tanzania ilivyokuza maadili kabla ya ukoloni
-
-
Kuchambua mifumo iliyokuza na kuendeleza uchumi na siasa katika jamiii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
Kubaini mifumo ya kiuchumi na kisiasa katika jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
Kueleza jinsi mifumo ya kisiasa na kiuchumi ilivyokuza na kuendeleza shughuli za kiuchumi na kisiasa kabla ya ukoloni
-
Kufafanua uhusiano kati ya jamiii za Kitanzania na za Mashariki ya Kati, Mashariki ya Mbali na Ulaya katika kuendeleza shughuli za kiuchumi na kisiasa kabla ya ukoloni
-
Kutathmini mchango wa mifumo ya kisiasa na kiuchumi katika kukuza maadili ya jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
-
Kutathmini vichocheo vya mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
Kueleza hali ya sayansi na teknolojia katika jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
Kubaini vichocheo vya mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
-
-