Kiswahili Form 1 Syllabus

    1. Matamshi bora
      1. Kiimbo
      2. Shadda
      3. Irabu/vokali-/a/,/e/, /i/, /o/, /u/.
      4. Konsonanti - /b/, /ch/,/d/, /dh/, /f/, /g/, /gh/, /h/,/j/, /k/,/l/,/m/, /n/,/ng'/, /ny/, /p/, /r/, /s/, /sh/, /t/, /th/, /v/, /w/, /y/, /z/.
      5. Ala za sauti/kutamkia
      6. Namna ya kutamka na aina za sauti k.m. ghuna, sighuna/hafifu, vipasuo, vikwamizo n.k
      7. Silabi
      8. Maneno
      9. Vitate k.m. baba, papa
      10. Vitanza ndimi
    2. Maamkizi na mazungumzo
      1. Maamkizi na mazungumzo ya: Nyumbani, dukani, mtaani.
      2. Maamkizi na mazungumzo ya: Sokoni, shuleni
      3. Mahojiano k.m. mwalimu na mwanafunzi.
      4. Mijadala k.m. umoja na utangamano katika familia
      5. Hotuba
    3. Ufahamu wa kusikiliza
      1. Ufahamu wa taarifa za kusikiliza
    4. Kusikiliza na kudadisi
      1. Utangulizi wa fasihi: Maana, Aina
      2. Fasihi simulizi; Vipera vya fasihi simulizi hadithi-Utambaji,hurafa,hekaya.
      3. Fasihi simulizi; Vipera vya fasihi simulizi hadithi-Semi-methali,vitandawili,mafumbo na chemsha bongo, misemo.
      4. Fasihi simulizi; Vipera vya fasihi simulizi hadithi- Ushairi-nyimbo.
      5. Maigizo: Yategemee shabaha na muktadha k.m. jandoni, sherehe za arusi n.k.
    1. Lugha
      1. Maana na dhima ya lugha
      2. Sauti:Irabu/vokali
      3. Sauti: Konsonanti, mpangilio wa sauti katika silabi na maneno
      4. Sauti: Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno
      5. Vipashio vya lugha: Sauti-silabi-neno-sentensi.
    2. Aina za Maneno
      1. Aina za maneno: Nomino-N
      2. Aina za maneno: Vitenzi-T
      3. Aina za maneno: Viwakilishi-W
      4. Aina za maneno: Vivumishi-V
      5. Aina za maneno: Vielezi-E
      6. Aina za maneno: Viunganishi-U
      7. Aina za maneno: Vihusishi-H
      8. Aina za maneno: Vihisishi-I
      9. Kubainisha maneno katika tungo k.m. Mtoto(N) analia(T)
    3. Ngeli za nomino
      1. A-WA
      2. U-I
      3. U-YA
      4. YA-YA
      5. LI-YA
      6. KI-VI
      7. I-ZI
      8. I-I
      9. U-ZI
      10. U-U
      11. KU
      12. PA-KU-MU
    4. Viambishi
      1. Maana
      2. Aina-Awali na tamati
    5. Nyakati na hali
      1. Nyakati uliopita-LI-
      2. Nyakati uliopo-NA-
      3. Nyakati ujao-TA-
      4. Hali timilifu-ME-
      5. Hali ya mazoea-HU-
      6. Ukanushaji kutegemea nafsi na: -Nyakati-LI-
      7. Ukanushaji kutegemea nafsi na: -Hali -ME-HU-
    6. Mnyambuliko wa vitenzi
      1. Viambishi vya mnyambuliko
      2. Kauli za vitenzi: Kutenda
      3. Kauli za vitenzi: Kutendewa
      4. Kauli za vitenzi: Kutendeka
      5. Kauli za vitenzi: Kutendana
      6. Kauli za vitenzi: Kutendea
      7. Kauli za vitenzi: Kutendwa
      8. Kauli za vitenzi: Kutendesha.
    7. Sentensi ya Kiswahili
      1. Maana ya sentensi
      2. Mpangilio na uhusiano wa maneno kimantiki katika sentensi ya kiswahili
      3. Muundo wa sentensi: Kirai
      4. Muundo wa sentensi: Kikundi nomino (KN)
      5. Muundo wa sentensi: Kikundi tenzi (KT)
      6. Sentensi sahili -Upambanuzi wa sentensi sahili kuonyesha muundo wake kwa njia ya mstari
    8. Uakifishaji
      1. Alama za kuakifisha: Nukta/kitone/kikomo (.)
      2. Mkato/kipumuo/koma (,)
      3. Nukta mkato/semi koloni (;)
      4. Nukta pacha/nukta mbili/koloni(:)
      5. Kiulizi/kiulizo(?)
      6. Alama hisi (!)
      7. Alama mtajo/za kunukuu/za usemi (" ")
      8. Mkwaju/mshazari (/)
      9. Kistari kifupi (-)
      10. Kistari kirefu (_)
      11. Mstari (_)
      12. Ritifaa/kibainishi(')
      13. Mabano/vifungo/parandesi(), [ ]
      14. Herufi kubwa (H) na herufi ndogo(h)
      15. Herufi nzito (Hh)
      16. Herufi mlazo/italiki (Hh)
      17. Nukta za dukuduku/mdokezo (...)
      18. Kinyota (*)
    9. Ukubwa na udogo
      1. Wastani wa nomino
      2. Ukubwa wa nomino
      3. Udogo wa nomino
    10. Umoja na wingi
      1. Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya:
      2. Viambishi awali vya vitenzi
      3. Kirejeshi -ambao-
      4. Vionyeshi
      5. Vimiliki
    1. Kusoma kwa sauti
      1. Sauti mwambatano k.m. /kw/, /mb/, /mw/, /ng/, /nj/, /nd/ n.k
      2. Sentensi
      3. Vifungu vya maneno na aya
    2. Kusoma kwa ufahamu
      1. Vifungu vya ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
      1. Riwaya
      2. Tamthilia
      3. Ushairi: Mashairi ya arudhi
      4. Ushairi: Mashairi huru
    4. Kusoma kwa mapana
      1. Kusoma magazeti, majarida, makala na vitabu vya zaidi huku wakizingatia maswala ikabu kama vile afya, Ukimwi, maadili, jinsia, haki za watoto, ajira ya watoto, ufisadi n.k
    5. Matumizi ya maktaba
      1. Maana, umuhimu na matumizi ya maktaba
    6. Matumizi ya kamusi
      1. Maana, aina, umuhimu na matumizi ya kamusi k.m. Kamusi ya visawe, teknolojia n.k.
    1. Uandishi wa kawaida
      1. Majibu ya ufahamu
      2. Muhtasari
      3. Imla
      4. Uchambuzi wa maandishi mbalimbali
    2. Utungaji wa kiuamilifu
      1. Maana na dhima utungaji
      2. Barua: Kirafiki
      3. Barua: Rasmi
      4. Hotuba
      5. Ratiba kama vile ya sherehe ya kuzaliwa
      6. Tahadhari: Onyo
      7. Tahadhari: Ilani
      8. Matangazo
      9. Maagizo/maelekezo
      10. Kujaza fomu, stakabadhi na orodha
      11. Taarifa
      12. Mahojiano na dayolojia
    3. Uandishi wa insha
      1. Maana na aina za insha: Picha
      2. Maana na aina za insha: Mdokezo
      3. Maana na aina za insha: Maelezo
      4. Maana na aina za insha: Masimulizi
    4. Utungaji wa kisanii
      1. Mashairi mepesi
      2. Hadithi fupi
      3. Vitendawili, mafumbo na chemsha bongo,
      4. Vitanza ndimi