Kiswahili Form 4 Syllabus
-
-
Maamkizi na mazungumzo
-
Maamkizi ya heshima kwa kuzingatia miktadha na taaluma mbalimbali viwandani
-
Maamkizi ya heshima kwa kuzingatia miktadha na taaluma mbalimbali bungeni
-
Mahojiano kwa mfano mwajiri na mwajiriwa
-
Majadiliano baina ya watu wenye vyeo k.m. mabalozi wawili au marais wawili
-
Mjadala kwa mfano ushirikiano wa kimataifa
-
Hotuba
-
-
Ufahamu wa kusikiliza
-
Taarifa za ufahamu wa kusikiliza
-
-
Kusikiliza na kudadisi
-
Sifa bainifu za fasihi simulizi
-
Sifa bainifu za fasihi andishi
-
Muainisho wa fasihi simulizi semi: Methali
-
Muainisho wa fasihi simulizi semi: Misemo
-
Muainisho wa fasihi simulizi semi: Mafumbo
-
Muainisho wa fasihi simulizi semi: Lakabu
-
Muainisho wa fasihi simulizi semi: Misimu
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Masimulizi ya hadithi ngano
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Masimulizi ya hadithi miviga
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Masimulizi ya hadithi mighani
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo ulumbi
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo soga
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo malumbano ya utani
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo mawaidha
-
Maigizo kutegemea shabaha na miktadha; miviga
-
Ngomezi
-
Ushairi; Nyimbo
-
Ushairi; maghani
-
-
-
-
Ngeli za nomino
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Virejeshi 'O' na 'amba'
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi sifa
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi vimilikishi
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi viulizi
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi idadi
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi -A- unganifu
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi visisitizi
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi pekee
-
Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya: Vivumishi vionyeshi
-
-
Aina mbalimbali za maneno
-
Viunganishi: Kibantu
-
Viunganishi: Asili ya kigeni k.m. fauka ya ilhali, sembuse, seuze n.k
-
Nomino - jamii, pekee, kawaida, dhahania, wingi
-
Vitenzi halisi
-
Vitenzi vikuu
-
Vitenzi vishirikishi vipungufu
-
Vitenzi vishirikishi-vikamilifu
-
Vitenzi visaidizi
-
Vitenzi sambamba
-
Viwakilishi - vionyeshi, 'O' rejeshi, nafsi, n.k.
-
Vivumishi vimilikishi
-
Vivumishi sifa
-
Vivumishi viulizi
-
Vielezi mahali
-
Vielezi idadi
-
Vihusishi
-
Vihisishi
-
-
Mwingiliano wa aina mbalimbali za maneno k.m. kivumishi kuwa nomino n.k.
-
Mwingiliano wa aina mbalimbali za maneno k.m. kivumishi kuwa nomino n.k.
-
-
Muundo wa sentensi ya Kiswahili
-
Vijenzi vya sentensi: Miundo ya kikundi nomino (KN)
-
Vijenzi vya sentensi: Miundo ya kikundi tenzi (KT)
-
Vijenzi vya sentensi: Yambwa/Shamirisho (SH) -kipozo, -kitondo, -ala/kitumizi
-
Vijenzi vya sentensi: Chagizo (CH)
-
Vijenzi vya sentensi: Virai nomino
-
Vijenzi vya sentensi: Virai vihusishi
-
Vijenzi vya sentensi: Virai vivumishi
-
Vijenzi vya sentensi: Virai vielezi
-
Vijenzi vya sentensi: Vishazi huru
-
Vijenzi vya sentensi: Vishazi tegemezi
-
-
Uchanganuzi wa sentensi sahihi, ambatano na changamano kwa njia ya jedwali, mchoro wa matawi na mistari
-
Uchanganuzi wa sentensi sahihi, ambatano na changamano kwa njia ya jedwali, mchoro wa matawi na mistari
-
-
Mnyambuliko wa vitenzi
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kigeni
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya asili ya kibantu
-
-
Nyakati na hali
-
Nyakati: LI, NA, TA.
-
Hali: ME, HU
-
Hali: NGE, NGELI, NGALI
-
Hali: PO, A
-
Hali: KA, KI, KU.
-
Hali ya kuamuru
-
Ukanushaji kutegemea nafasi na: Nyakati
-
Ukanushaji kutegemea nafasi na: Hali
-
-
Uakifishaji
-
Kuakifisha maandishi ya aina mbalimbali
-
Usemi halisi
-
Usemi wa taarifa
-
-
Uundaji wa maneno
-
Nomino kutokana na mzizi wa nomino.
-
Nomino kutokana na mzizi wa kitenzi.
-
Kitenzi kutokana na mzizi wa nomino.
-
Kivumishi kutokana na mzizi wa nomino.
-
Nomino kutokana na mzizi wa kivumishi.
-
Kivumishi kutokana na mzizi wa kitenzi.
-
Kitenzi kutokana na mzizi wa kivumishi.
-
-
Matumizi ya maneno na viambishi maalum
-
Viambishi -ku-
-
Viambishi -ndi-
-
Viambishi -ji-
-
Maneno; jinsi
-
Maneno; namna
-
Maneno; ila
-
Maneno; japo
-
Maneno; ijapokuwa
-
Maneno; ingawa
-
Maneno; ingawaje
-
Maneno; ikiwa
-
Maneno; wala
-
Maneno; walakini
-
Maneno; kwa
-
Maneno; labda
-
Maneno; na
-
-
Umoja na wingi
-
Ngeli za nomino na viambishi vya upatanisho
-
-
Vitenzi
-
Mzizi wa kitenzi.
-
Viambishi awali na tamati vya vitenzi
-
Hali ya kuamuru
-
Ukanushaji
-
-
-
-
Kusoma kwa sauti
-
Tungo za wanafunzi
-
Vitabu viteule
-
Matangazo
-
Ripoti za wahariri wa magazeti
-
-
Kusoma kwa ufahamu
-
Taarifa za ufahamu
-
-
Kusoma kwa kina
-
Kusoma vitabu viteule: Riwaya
-
Kusoma vitabu viteule: Tamthilia
-
Kusoma vitabu viteule: Ushairi -mashairi ya arudhi
-
Kusoma vitabu viteule: Ushairi -mashairi huru
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; usuli
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia;dhamira
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; maudhui
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; wahusika
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; miundo
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; mtindo
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; matumizi ya lugha na tamathali za semi
-
Hadithi fupi: Hakiki kwa kuzingatia; mafunzo na maadili
-
Historia na maendeleo ya kiswahili: Lugha ya Kiswahili baada ya uhuru nchini Kenya
-
Historia na maendeleo ya kiswahili: Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa
-
Historia na maendeleo ya kiswahili: Matatizo yanayoikumba lugha ya kiswahili
-
Historia na maendeleo ya kiswahili: Mikakati inayofaa kuimarisha lugha ya Kiswahili
-
-
Kusoma kwa mapana
-
Kusoma: Vitabu vya ziada
-
Kusoma: Magazeti
-
Kusoma: Majarida
-
Kusoma: Makala ya runinga na redio
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile afya na ukimwi
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile mawasiliano
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile wavuti
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile biashara
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile teknolojia
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile viwanda
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile ufisadi
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile haki za watoto
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile ajira ya watoto
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile jinsia
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile haki za binadamu
-
Kusoma: Makala mbalimbali ya kitaaluma kwa kuzingatia uchambuzi wa maswala ibuka kama vile katiba na utawala
-
-
-
-
Uandishi wa kawaida
-
Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
-
Muhtasari
-
Tahakiki za kazi za kisanii
-
-
Utungaji wa kiuamilifu
-
Barua: Kirafiki
-
Barua: Rasmi
-
Barua: Memo
-
Barua: Simu
-
Barua: Meme - nukulishi
-
Barua: Meme - mdahilishi
-
Barua: Meme - ujumbe wa rununu/simu-tamba
-
Barua: Kwa mhariri
-
Hotuba
-
Ratiba k.m. tamasha za michezo ya kuigiza
-
Matangazo
-
Maagizo/maelekezo
-
Tahadhari; ilani
-
Tahadhari; onyo
-
Tawasifu
-
Wasifu
-
Kumbukumbu
-
Mahojiano na dayolojia
-
Insha za kitaaluma k.m. makala ya redio na runinga
-
-
Uandishi wa insha
-
Masimulizi
-
Mazungumzo
-
Mawazo
-
Maelezo
-
-
Utungaji wa kisanii
-
Mashairi: Mashairi ya arudhi
-
Mashairi: Mashairi huru
-
Mikusanyiko ya kazi za kisanii
-
-