Kiswahili Form 3 Syllabus
-
-
Maamkizi na mazungumzo
-
Maamkizi ya hesima na mazungumzo katika mazingira ya sehemu za kuabudu
-
Maamkizi ya hesima na mazungumzo katika mazingira ya ofisini kwa mtawala
-
Maamkizi ya hesima na mazungumzo katika mazingira ya mahakamani
-
Mahojiano kama vile baina ya wataalamu wawili
-
Mjadala kama vile umoja wa kitaifa
-
Hotuba
-
-
Ufahamu wa kusikiliza
-
Taarifa za ufahamu wa kusikiliza
-
-
Kusikiliza na Kudadisi
-
Dhima ya fasihi kwa jumla
-
Umuhimu wa fasihi simulizi
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo malumbano ya utani
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo Ulumbi
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo soga
-
Muainisho wa fasihi simulizi: Mazungumzo mawaidha
-
Masimulizi ya hadithi mighani
-
Masimulizi ya hadithi visasili
-
Masimulizi ya hadithi ngano
-
Masimulizi ya hadithi miviga
-
Miviga
-
Maigizo kutegemea shabaha
-
Ushairi wa nyimbo
-
Ushairi wa maghani
-
Semi
-
Methali
-
Vitendawili
-
Mafumbo
-
Lakabu
-
Misimu
-
Ngomezi-fasihi ya ngoma kuhusu ujumbe
-
-
-
-
Umoja na wingi
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya viulizi
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya idadi
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya -A- unganifu
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya virejeshi 'O' na 'amba-'
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya visisitizi
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya pekee -enye, -enyewe
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya pekee -ote, -o-te
-
Ngeli za nomino ba upatanisho wa kisarufi kwa mintaarafu ya pekee -ingine, -ingineo
-
-
Vielezi
-
Vielezi vya namna: Vikariri
-
Vielezi vya namna: Halisi
-
Vielezi vya namna: Mfanano
-
Vielezi vya namna: Hali
-
Vielezi vya namna: Ala/vitumizi
-
Vielezi vya namna: Viigizi
-
Vielezi vya wakati: Viambishi
-
Vielezi vya wakati: Maneno kamili
-
Vielezi vya Idadi/kiasi: Idadi halisi
-
Vielezi vya Idadi/kiasi: Idadi ya jumla
-
Vielezi vya Mahali: Viambishi
-
Vielezi vya Mahali: Maneno kamili
-
-
Viwakilishi
-
Vionyeshi
-
Vimilikishi
-
Viulizi
-
Virejeshi
-
-A- unganifu
-
Sifa
-
Nafsi
-
Ngeli
-
Pekee
-
Idadi
-
-
Mwingiliano wa maneno mbalimbali
-
Mwingiliano wa maneno mbalimbali k.m. nomino kuwa kivumishi n.k.
-
Mwingiliano wa maneno mbalimbali k.m. kivumishi kuwa kiwakilishi
-
-
Vitenzi
-
Mzizi wa kitenzi
-
Viambishi awali katika vitenzi k.m. nafsi
-
Viambishi awali katika vitenzi k.m. virejeshi
-
Viambishi tamati katika vitenzi k.m. viishio,
-
Viambishi tamati katika vitenzi k.m. virejeshi
-
Viambishi tamati katika vitenzi k.m. mnyambuliko n.k.
-
Vinyume vya vitenzi
-
Hali ya kuamrisha
-
-
Uundaji wa nomino
-
Nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-
-
Sentensi ya kiswahili
-
Aina za virai: Vihusishi
-
Aina za virai: Nomino
-
Aina za virai: Vivumishi vielezi
-
Aina za virai: Vishazi: Huru
-
Aina za virai: Vishazi: Tegemezi
-
Muundo wa sentensi; miundo ya kikundi / nomino (KN)
-
Muundo wa sentensi; miundo ya kikundi / tenzi (KT)
-
Muundo wa sentensi; yambwa/shamirisho (SH): Kipozi
-
Muundo wa sentensi; yambwa/shamirisho (SH): Kitondo
-
Muundo wa sentensi; yambwa/shamirisho (SH): Ala/kitumizi
-
Muundo wa sentensi: Chagizo (CH)
-
Aina za sentensi: Sahili
-
Aina za sentensi: Ambatano
-
Aina za sentensi: Changamano
-
Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya jedwali
-
Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mchoro wa matawi
-
-
Nyakati na hali
-
Nyakati LI-, -NA-, -TA-
-
Hali ya, -KI-, -KA-, -A-
-
Hali ya, -PO-, -KU-
-
-
Ukanushaji
-
Ukanushaji kulingana na nafsi na nyakati LI-, -NA-, -TA-
-
Ukanushaji kulingana na nafsi na hali -ME-, -HU-
-
Ukanushaji kulingana na nafsi na hali -NGE-, -NGALI-
-
Ukanushaji kulingana na nafsi na hali -KI-, -KA-, -A-
-
Ukanushaji kulingana na nafsi na hali -PO-, -KU-
-
-
Uakifishaji
-
Matumizi ya alama za kuakifisha mbalimbali
-
-
Mnyambuliko wa vitenzi
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendeshewa
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendesheana
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendesheka
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendama
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendata
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutendua
-
Kauli za vitenzi vya kibantu: Kutenduka
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja katika kauli mbalimbali: ja, nywa
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja katika kauli mbalimbali: nya, pa
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja katika kauli mbalimbali: fa, la,
-
Mnyambuliko wa vitenzi vya silabi moja katika kauli mbalimbali: cha, pwa, wa
-
Mnyambuliko wa vitenzi vyenye asili ya kigeni k.m. samehe, ghairi, tubu n.k. katika kauli mbalimbali
-
-
-
-
Kusoma kwa sauti
-
Kusoma kazi walizotunga wanafunzi
-
Kusoma magazeti wakizingatia tahariri
-
Kusoma magazeti wakizingatia habari za kitaifa na kimataifa
-
Kusoma magazeti wakizingatia barua kwa mhariri
-
Kusoma magazeti wakizingatia ripoti za michezo
-
-
Kusoma kwa ufahamu
-
Taarifa za ufahamu
-
-
Kusoma kwa kina
-
Kusoma vitabu viteule: Riwaya
-
Kusoma vitabu viteule: Tamthilia
-
Kusoma vitabu viteule: Ushairi - mashairi ya arudhi
-
Kusoma vitabu viteulizi: Ushairi - mashairi huru
-
Kusoma vitabu viteulizi: Hadithi fupi
-
Historia na maendeleo ya Kiswahili chimbuko, maenezi na usanifishaji wa lugha ya Kiswahili nchini Kenya
-
-
Kusoma kwa mapana
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Afya na Ukimwi
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Mazingira
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Jinsia
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Haki za watoto
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Haki za kibinadamu
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Ajira ya watoto
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Usalama barabarani
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Ufisadi
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Mafunzo na maadili
-
Kusoma magazeti, majarida au makala na kuchanganua maswala ibuka kuhusu: Katiba na utawala
-
-
-
-
Uandishi wa kawaida
-
Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
-
Muhtasari
-
Tahakiki za kazi za kisanii
-
-
Utungaji wa kiuamilifu
-
Barua rasmi
-
Barua kwa mhariri
-
Barua mialiko
-
Barua meme: Nukulishi
-
Barua meme: Mdahilishi
-
Barua meme: Ujumbe wa rununu/simu-tamba
-
Hotuba
-
Ratiba k.m. sherehe za aruri
-
Tahadhari: Ilani
-
Tahadhari: Onyo
-
Matangazo
-
Maagizo/maelekezo
-
Tawasifu
-
Wasifu
-
Resipe
-
Kumbukumbu
-
Ripoti
-
Mahojiano na dayolojia
-
Kujaza fomu na hojaji
-
Insha za kitaaluma k.m. makala ya redio na runinga
-
-
Uandishi wa insha
-
Maelezo
-
Mawazo
-
Mazungumzo
-
Masimulizi
-
Methali
-
Utungaji wa kisanii
-
-
Michezo ya kuigiza
-
Mikusanyo ya kazi ya fasihi simulizi
-
Mashairi: Arudhi
-
Mashairi: Huru
-
-