Kiswahili (New)
Kumudu misingi ya Kiswahili
Kumudu misingi ya Kiswahili
Kutambua Kiswahili kama kielelezo cha utaifa na utambulisho wa Mtanzania
Kutumia Kiswahili katika mijadala mbalimbali kwa kuzingatia utamaduni wa Mtanzania (mf. matumizi ya tafsida na uteuzi wa maneno kulingana na mila na desturi za Mtanzania)
Kutumia Kiswahili katika mijadala mbalimbali kwa kuzingatia utamaduni wa Mtanzania (mf. matumizi ya tafsida na uteuzi wa maneno kulingana na mila na desturi za Mtanzania)
Kukuza uelewa wa sarufi ya Kiswahili
Kusimulia habari na matukio kwa kuzingatia kiimbo, mkazo, na lafudhi pamoja na dhima zake
Kusimulia habari na matukio kwa kuzingatia kiimbo, mkazo, na lafudhi pamoja na dhima zake
Kuandika hadithi kwa kuzingatia mpangilio na uhusiano sahihi wa maneno (nomino, vivumishi, vielezi, viwakilishi, vitenzi, vihisishi, vihusishi na viunganishi) katika sentensi
Kuandika hadithi kwa kuzingatia mpangilio na uhusiano sahihi wa maneno (nomino, vivumishi, vielezi, viwakilishi, vitenzi, vihisishi, vihusishi na viunganishi) katika sentensi
Kuandika hadithi kwa kuzingatia mpangilio na uhusiano sahihi wa sentensi katika aya
Kuandika hadithi kwa kuzingatia mpangilio na uhusiano sahihi wa sentensi katika aya
Listening to this topic