Kiswahili Darasa la VI Syllabus
-
-
Kusoma kwa Mazoezi (habari ndefu isiyozidi maneno 600 na kusoma nambari za milango sita (100,000-999,999))
-
Kuainisha alama za uandishi
-
Kubainisha nambari na maneno ya nambari
-
Kusoma nambari na maneno ya nambari kwa kasi inayostahiki
-
Kusoma habari kwa kuzingatia alama za uandishi
-
-
Kusoma kwa Ufahamu habari ndefu isiyozidi maneno (600) (Udhalilishaji)
-
Kueleza taratibu za usomaji
-
Kubainisha msamiati uliyomo kwenye habari
-
Kuchambua habari mbali mbali
-
-
Ufupisho
-
Kueleza dhana ya ufupisho
-
Kufafanua hatua za ufupisho
-
Kufupisha aya
-
-
Maktaba
-
Kuainisha aina za vitabu na machapisho yanayopatikana maktaba
-
Kubainisha matumizi ya katalogi
-
Kuelezea tafauti ya upatikanaji wa taarifa za kusoma katika maktaba
-
-
-
-
Imla (isiyozidi maneno mia moja na ishirini (120))
-
Kubainisha matumizi ya alama za uandishi
-
Kuandika imla kwa kuzingatia alama za uandishi na kasi inayokubalika
-
-
Insha
-
Kuainisha vipengele vya insha
-
kujadili hatua za uandishi wa insha
-
Kuandika insha kwa kuzingatia alama za uandishi
-
-
Barua Rasmi
-
Kueleza aina za barua rasmi
-
Kufafanua vipengele vya barua rasmi
-
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia hatua
-
-
Matangazo ya Biashara
-
Kubainisha vipengele vya uandishi wa matangazo ya biashara
-
Kuelezea vipengele vya matangazo ya biashara
-
Kuandika matangazo ya biashara
-
-
Nambari za Milango Sita (100,000-999,999)
-
Kuainisha matumizi ya kituo kidogo katika uandishi wa nambari za milango sita
-
Kubainisha nambari za milango sita na maneno ya nambari
-
Kulinganisha nambari na maneno ya nambari kwa kuzingatia kituo kidogo
-
-
-
-
Ngeli (N-N na U-N)
-
Kubainisha majina
-
Kuonesha viambishi vya umoja na wingi
-
Kupanga majina katika makundi ya ngeli
-
-
Aina za Maneno (Vielezi (E) na Vihisishi (I))
-
Kueleza dhana ya vielezi na vihisishi
-
Kuanisha vielezi na vihisishi katika sentensi
-
Kufafanua aina za vielezi na vihisishi katika sentensi
-
Kutumia vielezi na vihisishi katika utungaji wa sentensi
-
-
Kauli za Vitenzi (Kutendea na Kutendana)
-
Kubainisha kauli za kutendea na kutendana katika vitenzi
-
Kutafautisha kauli za kutendea na kutendana
-
Kubadilisha kauli za vitenzi
-
-
Uundaji wa Maneno (Uambishaji)
-
Kuelezea dhana ya viambishi
-
Kubainisha viambishi awali na viambishi tamati katika maneno
-
SKutumia viambishi katika uundaji wa maneno
-
-
-
-
Misimu
-
Kuelezea dhana ya misimu
-
Kubainisha misimu inayotokana na mazingira yake
-
Kujadili matumizi ya misimu
-
Kutumia misimu katika mawasiliano
-
-
Rejista
-
Kuelezea dhana ya rejista
-
Kujadili muktadha wa matumizi ya rejista
-
Kufafanua matumizi ya rejista
-
-
Utata
-
Kueleza dhana ya utata
-
Kubainisha sentensi zenye utata
-
Kufafanua sababu za utata katika neno na sentensi
-
Kujadili njia za kutatua utata
-
-
-
-
Utamaduni wa Mswahili
-
Kufafanua vipengele vya utamaduni wa Mswahili
-
Kuelezea mambo ya kuigwa yanayotokana na utamaduni wa Mswahili
-
Kujadili mambo yanayopotosha utamaduni wa Mswahili
-
-
Kuimarisha Utamaduni Wetu
-
Kubainisha njia za kuimarisha utamaduni wetu
-
Kuelezea faida za kuimarisha utamaduni wetu
-
Kujadili hasara za kuharibu utamaduni wetu
-
-
Utamaduni wa Kigeni (Nje ya Zanzibar)
-
Kubainisha vipengele vya utamaduni wa kigeni
-
Kueleza athari za utamaduni wa kigeni
-
Kujadili njia za kuepuka athari za utamaduni wa kigeni
-
-
-
-
Utenzi
-
Kuelezea dhana ya utenzi
-
Kubuni utenzi wa beti nne
-
Kughani utenzi
-
Kuandika utenzi wa beti nne
-
-
Misemo
-
Kubainisha dhana ya misemo
-
Kufafanua misemo katika matini
-
Kutumia misemo katika mazungumzo
-
-