Kiswahili

Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali
♿ Accessibility: | | | |

Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali

Kutumia msamiati katika kuandaa matini mbalimbali
Kufupisha habari/hadithi aliyoisoma kwa kutumia maneno yake na kubainisha mawazo yote ya msingi ya mwandishi na kuyaelezea kwa usahihi
Kusikiliza hotuba na kubainisha mambo muhimu yanayotokana na hotuba na kuyahusianisha na maisha ya kila siku
Kuandika insha inayoeleweka kuhusu uharibifu wa mazingira kwa kuzingatia alama zote za uandishi
Kutunga hadithi fupi na kuelezea maana za maneno yote mapya na kuelezea jinsi yanavyotumika katika maisha ya kila siku
Kutumia msamiati katika kuandaa matini mbalimbali
Kuandika shairi linaloelezea muonekano wa hali ya hewa katika mazingira kwa kuzingatia kanuni za shairi
Kuandika habari fupi kwa kutumia majina sahihi ya kazi za watu
Kuandika sentensi kwa kutumia maneno yanayoonesha umiliki
Kutumia msamiati katika uandishi katika kuandaa matini mbalimbali
Kuunda maneno mapya kwa kubadili mpangilio wa herufi na silabi (mila-lami, lima, mali) ili kukuza msamiati
Kuchanganua vitu mbalimbali na kuvitofautisha kiasi chake katika sentensi kwa kutumia ….ingi.… ....engi….. …kidogo…… ....chache.......
Kuandika insha yenye kueleweka kuhusu ugonjwa wa UKIMWI
Kuandika kifungu cha habari fupi kwa mpangilio wa sentensi unaoeleweka
Kutumia msamiati katika uandishi wa matini mbalimbali
Kuandika hadithi fupi kwa kuzingatia kanuni na alama za uandishi
Kuandika habari fupi kwa mpangilio unaoeleweka kuhusu shughuli za kila siku
Kuandika sentensi kwa kutumia nyakati mbalimbali (uliopo, ujao uliopita na timilifu)
Kutumia maandishi katika mawasiliano kulingana na miktadha mbalimbali
Kubaini muundo wa kadi za mialiko, kuandika na kueleza matumizi yake
Kueleza kanuni za uandishi wa baruayakirafiki na rasmi, kutaja faida zake na kueleza namna ya kuzitumia barua hizo katika mazingira ya kila siku
Kubaini miundo ya barua za kirafikinarasmi na kuiandika kwa kuitofautisha katika miktadha mbalimbali
Kutumia maandishi katika kuwasiliana kulingana na miktadha mbalimbali
Kuandika hadithi fupi yenye maana kwa kuzingatia alama za uandishi na mtiririko wa matukio katika aya
Kuandika Insha kimantiki kuhusu elimu ya afya na uzazi
Kuandika majina ya ndege waliopo katika mazingira yao na kuelezea sifa na tabia zao
Kuandika barua ya kiofisi kwa kuzingatia mtiririko wa vipengele vya uandishi wa barua
Kuandika habari kwa kuzingatia taratibu na alama za uandishi
Kuandika risala fupi kwa kuzingatia muundo na kanuni za uandishi
Kuandika insha kuhusu umuhimu wa kuwa na familia ndogo
Kuandika kumbukumbu za mikutano kwa kuzingatia vipengele vyake vya uandishi
Kuandika methali zenye mafunzo kulingana na kifungu cha habari
Kuandika vipengele vya muundo wa insha
Kufupisha habari katika maandishi bila kupotosha maana iliyokusudiwa na kwa kuzingatia alama za uandishi
Kuandika kirefu cha vifupisho vya maneno au majina ya msingi (JKT, UDA, TBC TET, BMT)
Kuandika matangazo mbalimbali kuzingatia kwa taratibu za uandishi
Kutumia msamiati katika kuzungumza kwa kuwasilisha hoja kulingana na miktadha mbalimbali
Kusoma habari na kubainisha maneno mapya na kuelezea maana zake kwa kutumia kamusi
Kuelezea na kubaini maneno mapya katika risala iliyowasilishwa
Kubaini aina saba za maneno katika sentensi (Nomino, kitenzi, kielezi, kivumishi, kiwakilishi, kiunganishi na kihisishi)
Kutumia msamiati katika kuzungumza kwa kuwasilisha hoja kulingana na muktadha mbalimbali
Kuelezea idadi ya vitu vinavyohesabika katika umoja na wingi kwa kutumia sentensi kanushi
Kutofautisha na kueleza vitu katika hali ya ukubwa na udogo wake
Kuelezea muonekano wa hali ya hewa katika mazingira yake kikamilifu (ukungu, upepo, joto, baridi, mvua)
Kuelezea shughuli anazotenda mwanafunzi kila siku shuleni na kuandika habari fupi kwa mpangilio
Kuelezea shughuli za mwanafunzi anazotenda kila siku nyumbani kwa mpangilio
Kufanya ziara nje ya darasa na kubaini majina ya maua tofauti yanayopatikana na kuelezea sifa zake
Kusimulia hadithi fupi kwa kutumia majina ya wanyama wa porini
Kutunga sentensi kwa kutumia majina ya wanyama wanaofugwa na kuelezea faida zake
Kutumia msamiati katika mazungumzo kwa kuwasilisha hoja kulingana na miktadha mbalimbali
Kusoma magazeti mbalimbali yanayoelezea shughuli za kielimu, kiuchumi na kisiasa na kubaini maneno mapya, kuelezea maana zake na kuyatungia sentensi kwa usahihi
Kuandika risala kwa kuzingatia alama za uandishi na kuelezea matumizi yake katika miktadha mbalimbali
Kubainisha na kuelezea mambo muhimu ya kuzingatia katika uandishi wa risala na kueleza matumizi yake kwa usahihi kwa kuzingatia miktadha mbalimbali
Kutunga hadithi fupi na kuelezea mafunzo yanayopatikana katika hadithi hiyo na kuhusianisha na maisha ya kila siku
Kutunga sentensi kwa kutumia aina saba za maneno kwa usahihi kwa kuzingatia miktadha mbalimbali
Kubainisha aina saba za maneno na dhima zake katika sentensi na kutambua kifupisho cha kila aina ya neno
Kuwasilisha hoja na kuzielezea kwa kufuata mpangilio sahihi wa mawazo katika miktadha mbalimbali
Kutumia msamiati katika kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbali
Kubainisha majina ya wanyama, muonekano, sauti zao na kueleza wanakoishi
Kutaja majina ya wanafamilia nyumbani katika kusimulia hadithi fupi na kubainisha uhusiano wao
Kuanzisha na kuendeleza mazungumzo katika miktadha mbalimbali
za nahau na kutumia nahau mbalimbali katika mazungumzo kwa kuzingatia miktadha mbalimbali
Kutumia nafsi tatu katika sentensi kwa kuzingatia hali ya umoja na wingi
Kutoa taarifa kwa ukamilifu kuhusu tukio lililotokea
Kushiriki katika mjadala kuhusu matumizi ya simu ya mdomo
Kueleza hatua za uandishi wa habari fupi/ insha
Kueleza mafunzo yaliyopatikana katika methali na kulinganisha na maisha ya kila siku katika miktadha mbalimbali
Kusimulia mambo yaliyoonekana baada ya kufanya ziara fupi katika mazingira ya jirani na shule
Kusimulia hadithi kwa kuzingatia mtiririko wa mawazo
Kutafsiri lugha ya picha katika vitendawili na kuelezea maana zake kwa kuhusianisha na maisha ya kila siku
Kutunga sentensi kwa kutumia kauli taarifa
Kutumia nahau katika sentensi mbalimbali
Kubainisha na kueleza taswira za kimawazo zilizo katika nahau kutoka katika hadithi
Kusimulia hadithi yenye methali na kuelezea maana ya mafunzo yaliyopatikana katika methali
Kuchambua maudhui yote yaliyomo katika mashairi ya kimapokeo na kisasa, kuyaelezea na kuyahusianisha na mazingira ya kila siku
Kutunga sentensi kwa kutumia kauli halisi
Kutambua methali zinavyotumika katika mazungumzo na kuelezea maana zake
Kutafsiri taswira inayoakisiwa na nahau
Kughani tenzi na kuelezea ujumbe unaopatikana na kuhusianisha na mazingira ya kila siku
Kuelezea vitu vilivyopo katika mazingira yao katika hali ya umoja na wingi kwa vitu vyenye uhai na visivyo na uhai
Kuigiza igizo dhima kuhusu elimu ya biashara na kueleza umuhimu wake
Kughani shairi kwa kuzingatia kanuni za mashairi (vina, mizani na kituo)
Kutumia nahau katika habari fupi na kuelezea maana zake
Kutunga mashairi ya kisasa yenye beti sita au zaidi na kuyahusianisha na mazingira ya kila siku
Kutaja na Kueleza mawazo makuu yaliyomo katika wimbo wa kizalendo
Kutamba ngonjera kwa kuzingatia kanuni za utambaji
Kutunga mashairi ya kimapokeo yenye mishororo minne kwa kuzingatia kanuni za utunzi wa mashairi na kuyahusianisha na mazingira ya kila siku
Kutega na kutegua vitendawili na kuvihusianisha na vitu vilivyopo katika mazingira kwa usahihi
Kubainisha na kueleza sifa za mashairi ya kimapokeo na kisasa na kuyatofautisha
Kuimba wimbo wa kizalendo kwa ufasaha (Tazama Ramani)
Kutumia matamshi sahihi katika kutamka maneno mbalimbali
Kutamka matamshi sahihi ya maneno yenye herufi ‘l’ na ‘r’
Kutamka maneno yenye herufi ‘z’ na ‘dh’
Kutamka maneno yenye herufi ‘s’ na ‘th’ kwa usahihi
Kutambua sauti mbalimbali katika matamshi ya silabi, maneno sentensi na habari fupi
Kutamka sauti za herufi mwambatano ng’w, nyw, shw na nyingine zenye muundo huo katika silabi, sentensi, maneno na habari fupi
Kutamka sauti za herufi mwambatano lw, pw, sw, tw na nyingine zenye muundo huo katika silabi, maneno, sentensi na habari fupi
Kutamka sauti za herufi mwambatano gh, py, nz, ky na herufi nyingine zenye muundo huo katika silabi, maneno, sentensi na habari fupi
Listening to this topic