Kiswahili
Kuonesha uelewa wa jambo alilosikiliza au kulisoma
Kuonesha uelewa wa jambo alilosikiliza au kulisoma
Kusoma kwa ufasaha na kuonesha uelewa wa matini aliyoisoma
Kueleza maana za maneno mapya katika matini mbalimbali, kuyatumia katika sentensi na kuhusianisha na mazingira ya kila siku
Kubaini maudhui yaliyomo katika hadithi na kuelezea tabia zote za kila mhusika na kuhusianisha na mazingira ya kila siku
Kusoma matini teule za kisiasa, kiuchumi na kijamii, kubaini maneno mapya na kuyatumia katika miktadha mbalimbali
Kusoma, kuchanganua na kueleza mawazo yote ya msingi katika matini teule za kisiasa, kiuchumi na kijamii
Kusoma matini teule kwa kuzingatia alama zote za uandishi na kuelezea umuhimu wa matini hizo
Kutumia msamiati katika kusoma ili kuchanganua mawazo yaliyo wasilishwa katika matini mbalimbali
Kusoma kifungu cha habari ili kubaini maneno mapya yenye maana zaidi ya moja
Kusoma matini mbalimbali yanayoelezea hali ya hewa na kubaini majira yake
Kusoma matini na kubaini maneno mapya na kuelezea maana zake
Kusikiliza na kuonesha uelewa wa jambo alilosikiliza
Kusoma hotuba na kubaini maudhui yaliyojitokeza na kuyafafanua kwa usahihi
Kusoma kwa ufasaha na kuonesha uelewa wa matini mbalimbali
Kusoma kitabu cha hadithi na kuelezea tabia za wahusika
Kusoma hadithi za kubuni kwa burudani na kwa kuzingatia alama za uandishi
Kusoma matangazo na kubaini taarifa muhimu
Kubaini makosa ya kiuandishi katika matini anuai
Kusoma na kubaini methali zinazofanana
Kusoma methali mbalimbali katika kifungu cha habari na kueleza maana zake
Kusikiliza na kuonesha uelewa juu ya jambo alilolisikiliza
Kubaini na kuchambua hoja kuu zilizotolewa katika majadiliano
Kubaini mawazo makuu katika risala
Kubaini miundo katika sentensi wakati wa mazungumzo
Kusikiliza habari na kujibu maswali yatokanayo na habari
Listening to this topic